cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,326
Wewe ni mzigo wa gunia la misumari jambo dogo linakushinda akili uwe unajiongeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehtehteh.
Haya piga kampeni naona unataka mfanane.
Ila mwenzio hata usingle mom hajui kama ni tatizo kama unavyoliona ni tatizo wewe.
Kuwa single mom sio ugonjwa.sidhani kama utanielewa hapa.
Narudia kwake msamiati wa usingle mom kuwa tatizo kama unavyolichukulia na ulivyomezeshwa hapo unapoishi halipo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app