Alonso14
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,785
- 1,817
Amani iwe nanyi wakuu
Napenda niende moja kwa moja kwenye mada siku za karibuni hapa nchini kumetokea wimbi la wanasiasa wa upinzani kujiunga chama tawala kwa kigezo cha kumuunga mkono raisi.
Lakn kwa taarifa za chini chini zinasema kuwa hao wapinzani wananunuliwa na chama tawala.
Na ukiangalia kwa jicho la tatu ni kweli haingii akilini mtu kuacha kazi kwa kigezo cha kumuunga mkono rais mbona NAPE NA BASHE wanapingana na serikali na wapo chama tawala?
Kwan huwezi kumuunga mkono rais ukiwa upinzani?
Ngoja nirudi kwenye kichwa cha habari kama ni kweli viongozi wananunuliwa chini ya udhamini wa chama cha mapinduzi je mnajifanya kukipigigania chama cha mapinduzi hamuoni kuwa ni ufisadi na misue of public fund?
Kwann hiyo pesa isijikite katika kufanya maendeleo ya msingi mfano kuongeza wafanyakazi mishahara au kuboresha miundombinu vijijini?
Conclusion: kama chama cha mipinduzi kinanunua wapinzani basi hakifai kutuongoza na viongozi wake wa juu ni wanafiki wanaojifanya kupinga rushwa huku wakiihalalisha hiyo hiyo rushwa
CCM ACHENI UNAFIKI WA KUJIFANYA WAZARENDO
Napenda niende moja kwa moja kwenye mada siku za karibuni hapa nchini kumetokea wimbi la wanasiasa wa upinzani kujiunga chama tawala kwa kigezo cha kumuunga mkono raisi.
Lakn kwa taarifa za chini chini zinasema kuwa hao wapinzani wananunuliwa na chama tawala.
Na ukiangalia kwa jicho la tatu ni kweli haingii akilini mtu kuacha kazi kwa kigezo cha kumuunga mkono rais mbona NAPE NA BASHE wanapingana na serikali na wapo chama tawala?
Kwan huwezi kumuunga mkono rais ukiwa upinzani?
Ngoja nirudi kwenye kichwa cha habari kama ni kweli viongozi wananunuliwa chini ya udhamini wa chama cha mapinduzi je mnajifanya kukipigigania chama cha mapinduzi hamuoni kuwa ni ufisadi na misue of public fund?
Kwann hiyo pesa isijikite katika kufanya maendeleo ya msingi mfano kuongeza wafanyakazi mishahara au kuboresha miundombinu vijijini?
Conclusion: kama chama cha mipinduzi kinanunua wapinzani basi hakifai kutuongoza na viongozi wake wa juu ni wanafiki wanaojifanya kupinga rushwa huku wakiihalalisha hiyo hiyo rushwa
CCM ACHENI UNAFIKI WA KUJIFANYA WAZARENDO