johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,035
Babu kama huyo badala ajishughulishe na shughuli za maendeleo amekomaa na CHADEMA kwa malipo ya bei poa.Hii Chadema siku ikifa sasa naamini hata na nyie huko Lumumba mtakufa.
Hahahaaaa....... Una uhakika?!!Ruzuku haitokani na idadi ya wabunge inatokana kama mmepata 5% ya kura za Rais, sijui upo nchi gani?
ACT na CUF mbona wanawabunge lakini hawana ruzuku, uwe unatumia akili hata kidogoHahahaaaa....... Una uhakika?!!
Kwanza kabisa nitoe pongezi za awali kama ni kweli Chadema haijagusa ruzuku itokanayo na wabunge 19 wa viti maalumu kwa kuamini wale siyo wabunge halali.
Hapo Chadema inaweza kujitofautisha na ACT wazalendo kwa ukomavu na kujiamini.
Maendeleo hayana vyama!
Hahahaaaa......kwahiyo CUF mwaka 2015 ilipata 5% ya kura za Lowassa?ACT na CUF mbona wanawabunge lakini hawana ruzuku, uwe unatumia akili hata kidogo
Zangu ni pongezi tu bwashee!Kama una ushahidi wa transactions za account yao weka wazi Bwashee.
Zanzibar?Hahahaaaa......kwahiyo CUF mwaka 2015 ilipata 5% ya kura za Lowassa?
Wewe bavicha ni bure kabisa kichwani!
Sasa kama hata mambo madogo tu ya ruzuku huyajui unafanya nini hapo Ufipa?Zanzibar?
2015.CUF ilipata ruzuku kutokana na kura za urais Zanzibar!Hahahaaaa......kwahiyo CUF mwaka 2015 ilipata 5% ya kura za Lowassa?
Wewe bavicha ni bure kabisa kichwani!
Sasahivi CUF haina wabunge? mpuuzi wewe soma vizuri kanuni za NEC yenuSasa kama hata mambo madogo tu ya ruzuku huyajui unafanya nini hapo Ufipa?
Nyie ndio mh Naibu waziri Katambi aliwaita " Bavicha makarai"
Huyo mpuuzi haelewi kitu, ina maana sasahivi CUF haina wabunge?2015.CUF ilipata ruzuku kutokana na kura za urais Zanzibar!
Ndio nimemuuliza huyo Bavicha mwenzio Babati mwaka 2015 CUF ilipata kura ngapi (%) za urais?Ruzuku haitokani na wabunge viti maalumu walioko bungeni!!!!!!Ruzuku hutokana na asilimia za kura za urais chama kilizopata!
Lijualikali alikuwa sahihi hapo Ufipa mmejazana mateja tu.Sasahivi CUF haina wabunge? mpuuzi wewe soma vizuri kanuni za NEC yenu
We mzee utakuwa na laana siyo bure, Lijuakali amefanya nini sasa? yuko juu ya mawe kama wewe hapoLijualikali alikuwa sahihi hapo Ufipa mmejazana mateja tu.
Wewe unadhani CCM ilikuwa inachukua wabunge wa Chadema kiboyaboya tu!!
Kwa akili yako unadhani wabunge hao walipoondoka na ruzuku ilipungua?Lijualikali alikuwa sahihi hapo Ufipa mmejazana mateja tu.
Wewe unadhani CCM ilikuwa inachukua wabunge wa Chadema kiboyaboya tu!!
NEC na ZEC wapi na wapi?2015.CUF ilipata ruzuku kutokana na kura za urais Zanzibar!