Kama ni kweli CHADEMA hawajatumia hata shilingi moja ya ruzuku itokanayo na wabunge 19 basi wamekomaa kisiasa

Ruzuku haitokani na wabunge viti maalumu walioko bungeni!!!!!!Ruzuku hutokana na asilimia za kura za urais chama kilizopata!
 
Ruzuku haitokani na wabunge viti maalumu walioko bungeni!!!!!!Ruzuku hutokana na asilimia za kura za urais chama kilizopata!
Ndio nimemuuliza huyo Bavicha mwenzio Babati mwaka 2015 CUF ilipata kura ngapi (%) za urais?

Maana ilikuwa ya 3 kwa kupata ruzuku kubwa.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom