Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
kitanda hakizai haramu yakhe...
Nakuona unachezea kucha............
Hapa ni DNA test tu hamna ujanja
sasa je maana ishakuwa soooo!
Mtoto hana hatia..., Ningechukua mtoto, na kumsaidia kwali hali na mali
sasa je maana ishakuwa soooo!
Ungetulia tuu yaani umekuwa mdogo kama piriton lol
Hakuna neno tamruhusu kwenda kwa baba yake lakini kwenye malezi takuwa nime-play part yangu zitakuwa Baba (biological) lakini takuwa mlezi (nina uhakika hata mtoto ata-appreciate) kuliko ningemkataa nani angemlea?Akija kuwa mkubwa atamshika mama yake anamtaka baba yake...........
Hakuna neno tamruhusu kwenda kwa baba yake lakini kwenye malezi takuwa nime-play part yangu zitakuwa Baba (biological) lakini takuwa mlezi (nina uhakika hata mtoto ata-appreciate) kuliko ningemkataa nani angemlea?
Hakuna neno tamruhusu kwenda kwa baba yake lakini kwenye malezi takuwa nime-play part yangu zitakuwa Baba (biological) lakini takuwa mlezi (nina uhakika hata mtoto ata-appreciate) kuliko ningemkataa nani angemlea?
u mwenye busara.
Kama ni wewe ungefanyaje????????
Hebu niangalie vizuri hata mshipa haunichezi hahahahahah,maana najua kafanana na babu yake mzaa babu.
sasa labda ana chembe za ualbino jamani.