Kama ndio wewe ungefanyaje?

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
3,988
1,304
Kama ni wewe ungefanyaje????????
 

Attachments

  • white baby.jpeg
    white baby.jpeg
    35 KB · Views: 828
Akija kuwa mkubwa atamshika mama yake anamtaka baba yake...........
Hakuna neno tamruhusu kwenda kwa baba yake lakini kwenye malezi takuwa nime-play part yangu zitakuwa Baba (biological) lakini takuwa mlezi (nina uhakika hata mtoto ata-appreciate) kuliko ningemkataa nani angemlea?
 
mweeeeeee!!
raha 2pu..watoto rang nyngiiiiiiiiiiiiii...............!!!!!!!!!!!
 
Hakuna neno tamruhusu kwenda kwa baba yake lakini kwenye malezi takuwa nime-play part yangu zitakuwa Baba (biological) lakini takuwa mlezi (nina uhakika hata mtoto ata-appreciate) kuliko ningemkataa nani angemlea?

u mwenye busara.
 
Hakuna neno tamruhusu kwenda kwa baba yake lakini kwenye malezi takuwa nime-play part yangu zitakuwa Baba (biological) lakini takuwa mlezi (nina uhakika hata mtoto ata-appreciate) kuliko ningemkataa nani angemlea?

Any man can be a father but not all man can be good father and I am one of good fathers na wewe ni mmoja wao kutokana na mchango wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom