1.usiseme mkewe hajui kesha jua na ndio maana anamchunguza,muda mfupi ujao atakung'oa meno.Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?
2.Kama mngekuwa waislamu,mngeoana,inaonyesha unataka kufanya mapinduzi.
3.Unaonekana kukerwa kwa kuchunguzwa mpenzio,sababu unamwonea wivu.
Jamaa kakuchanganya sana dada yangu,spidi unayokwenda naona ni kali sana,angalia kuna MASHIMO,watoto,watembea kwa miguu na sehemu zingine kuna zebra crossing yote hayo yapo barabarani.