Kama natoka na mumeo...

I also concur mkulu De Novo,

Sasa hebu wafuatao

Chrispin (Pako)
Bigirita
Nguli and co
Fidel80

Tuijadili hii contextually..hii kitu imekaaje? Tumweke da Sophy pembeni kwanza
hehehehe!hao watu wana kesi za kujibu
 


sasa mpwa uwe unaangalia wengine haturuhusiwi kucheka kwa sauti hivi...dah hii kitu balaa sana hii
 

aaah ati bro!!!!

ngoja nimsubiri ajilete sasa
 
kuna uwezekano mkubwa nikawa sielewi vitu vingi sana kuhusu da-sophy na mwanajamii

AU NISEME HII SREDI SIJAIELEWA IN TOTAL
Heeee jamani mmefika huko? Hapana msipotoke mie nilikuwa nachangia hoja kama mchangiaji mwengine yeyote na wala post zangu hazihusiani na maisha yangu asilia so Geof relax- You know me now bro. If no tas my Babu X-Pin. As for now I dont have a man that can be shared to the extent ya mimi kuja kulumbana na Da Sophy. Not a chance my dia
 

tatizo nimekumiss....na vile naishi MBAGALA...sijui kama nitatoka?
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

Hii inaonekana wazi iko addressed to a certain 2nd person, huyo anayeibiwa mume. Lakini kwa jinsi ilivyosomwa na kuchangiwa na wengi (mimi nimeweza tu kusoma pages mbili za mwisho niko kibaruani na bosi mkali!), inaonekana ni mada inayogusa wengi, ni kama kuchoma chumba kimoja kwenye nyumba ya ghorofa hata 10, jengo zima watahaha.

Pengine is it something we are unable to control, kwamba iwe isiwe lazima wawepo watu wasio waaminifu katika ndoa zao? Labda japo measures za impact mitigation if we can't prevent it? Hizo pages 3 nilizosoma sijaona dalili kama anatumia condom huyu dada.

Issue nyingine ni huyu aliyeelekezewa kombora hili, nadhani inafaa kufundishana pia jinsi ya ku-react to such incidents. Pengine tutoe michango ya kwamba kwa mwanamke aliyeolewa akikumbana na mtu wa Da Sophy type, ni hatua gani muafaka za kuchukua.
 

We we we we ..hivi mhusika ni mwanajamii ..pls confirm ili tuanze mashambulizi upya ..sijui anamchukua mzee wa BHT ,FL1,CARMEL,nyamayao,Preta,Gaijin,Fixed Point..MJ1,napata picha kama ni wa WOS au BelindaJacob ...
Aiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Mamushika No Thank you
 
Hivi kama mimi natoka na mumeo lakini tumehakikisha hujui wala hatukuvunjii heshima, simchuni wala nini ni kwamba tunapendana ni vile dini ya kikristo hairuhusu wake 2 sasa wewe unamchunguza wa nini?

Hii inaonekana wazi iko addressed to a certain 2nd person, huyo anayeibiwa mume. Lakini kwa jinsi ilivyosomwa na kuchangiwa na wengi (mimi nimeweza tu kusoma pages mbili za mwisho niko kibaruani na bosi mkali!), inaonekana ni mada inayogusa wengi, ni kama kuchoma chumba kimoja kwenye nyumba ya ghorofa hata 10, jengo zima watahaha.

Pengine is it something we are unable to control, kwamba iwe isiwe lazima wawepo watu wasio waaminifu katika ndoa zao? Labda japo measures za impact mitigation if we can't prevent it? Hizo pages 3 nilizosoma sijaona dalili kama anatumia condom huyu dada.

Issue nyingine ni huyu aliyeelekezewa kombora hili, nadhani inafaa kufundishana pia jinsi ya ku-react to such incidents. Pengine tutoe michango ya kwamba kwa mwanamke aliyeolewa akikumbana na mtu wa Da Sophy type, ni hatua gani muafaka za kuchukua.
 

Mtu B kwa ushauri wangu mimi kama mwanajamiiOne sidhani kama kuna haja ya mke kupoteza muda wake kumfuatilia kimada wa mumewe!! Adeal na mume tu. Na magonjwa haya ya siku hizi yalivyo nje nje!! Ah mie ntamtafuna live mume huyo na wala kimada hataisikia sauti yangu!
 
JAMANI FIRST LADY ngoja niongee kwa sauti JAMANI MADA HII HAINIHUSU MIMI. MIMI NILIKUWA NACHANGIA TU KAMA MWANAJAMII WA JAMII FORUM na pengine nilokuwa nayasema yamemchoma ndo maana akaelekeza mashambulio kwangu but ah si mimi mwibiwa kwanza sina wa kuibiwa jamani au mnataka nitangaze Call for Proposals???
 

hahaaaa FL1 nilikuwa nimejiandaa vilivyo hapa

btw huyu dada amenifanya niote ndoto mbaya sana last nite!!! niliposikia tena inamuhusu MJ1 nikasema leo nakufa n ahuyu da sophy hapa hapa lol!!
 

ewaa, pole pole sasa tunaanza kujua tuanzie wapi hapa......
 


Sema Su! (wajasiriamali bana na terminologies zao)
 
 
hahaaaa FL1 nilikuwa nimejiandaa vilivyo hapa

btw huyu dada amenifanya niote ndoto mbaya sana last nite!!! niliposikia tena inamuhusu MJ1 nikasema leo nakufa n ahuyu da sophy hapa hapa lol!!

we B wewe...nimeshasema ya Ikwiriri utajiju kama ndo ivi...yaani unataka kupigana na wewe upo kwen nyumba ya kioo?
 
wewe ni malaya hata ujiteteee vipi


****** zako
 


haya...utamu wa mume ni nini......
 
we B wewe...nimeshasema ya Ikwiriri utajiju kama ndo ivi...yaani unataka kupigana na wewe upo kwen nyumba ya kioo?

aaah potelea mbali mi ningezipiga tu na huyu!! wa ukweli huyu dada ana nyodo duh!!! dizaini wa buguruni kwa mnyamani huyu!!

afu B ikwiriri mi ndo nshajiandaa mwezi mmoja kabla, just waiting for my SM hahahaaalol!! nimefika point of no return wewe subiri feed back tu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…