mmmmh!!! pamoja na uelewa wangu mdogo ktk haya mamb lkn hii ni pumba zaidNadhani waliogopa wana CDM waliojaa ghafla mahala pale
mmmmh!!! pamoja na uelewa wangu mdogo ktk haya mamb lkn hii ni pumba zaidNadhani waliogopa wana CDM waliojaa ghafla mahala pale
Mimi kama wewe tu wala sijui chochoteHivi wewe ni raia wa Tanzania au mhamiaji , kitu gani hukijui kuhusu nchi hii ?
Hauko kama mimi maana mimi najua .Mimi kama wewe tu wala sijui chochote
Kwa hiyo zile sifa mlizowapa madaktari wa Dodoma kwa first aid waliofanya katika Ku stabilize hali ya jamaa mmezifuta or?Hili swali najiuliza sipati jibu
Baada ya Mbunge Lissu kupigwa risasi alifanyiwa upasuaji na jopo la madaktari, akiwemo Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya. Katika upasuaji huo alitolewa risasi 5 mwilini na kisha kusafirishwa kwa ndege hadi Nairobi.
Alipofika huko alifanyiwa upasuaji takribani mara 2 au 3 na kutolewa risasi 8 zaidi. Je lengo la kuziacha zile risasi nane ilikuwa nini? Maana Kenya zimetolewa nane wakati Dodoma tuliambiwa alipigwa risasi tano, bora wangesema alitolewa tano zimebaki nane.
Rejea mada => Hivi ndivyo risasi nane zilizotolewa mwilini mwa Lissu nchini Kenya, nje ya 5 zilizotolewa pale Dodoma
atukuwa wajinga kutompeleka TL Muhimbili.." Swali la Kichokozi watu wasio julikana ndio wale watu wa nchi Jirani?"
Kama wewe unajua hongera Mimi sijui chochote.Hauko kama mimi maana mimi najua .
PoleKama wewe unajua hongera Mimi sijui chochote.
Wangepachimba wangekuwa wamekosea, daktari ni mtu wa kutibu tu lakini mponyaji ni mungu,mungu akitaka upone hata daktari kama hataki utapona tu ila kama hajapenda hata daktari akipenda mgonjwa haponi, huwa tutawalaumu madaktari bure mkuu.Ukawa walikuwa wengi sana pale nje,pangechimbika,yale makoti meupe ungeona yanapepea juu,wangetolewa nduki