Kama Mungu aliumba mbingu na dunia, sayari nyingine je?

Mambo ya biblia kaz ipo

Mie huwa najiuliza Sana.BIblia inasema siku ya kwanza mungu aliumba mchana na usiku..na pia inasema jua aliumba siku ya NNE..

Hapo kaz ipo sote tunajua mchana unatokana na jua ,sasa Siijui nuru aliyo iumba mungu siku ya kwanza ipo wapi??
Nina uhakika hakuna atakaye kujibu hili swali.
 
Mambo ya biblia kaz ipo

Mie huwa najiuliza Sana.BIblia inasema siku ya kwanza mungu aliumba mchana na usiku..na pia inasema jua aliumba siku ya NNE..

Hapo kaz ipo sote tunajua mchana unatokana na jua ,sasa Siijui nuru aliyo iumba mungu siku ya kwanza ipo wapi??
Weka andiko mkuu kusaport hoja yako
 
IMG_20180121_182030.jpg
 
Mkuu naomba utambue kwanza maana ya mbingu kama utaelewa mbingu no juu haiana haja ya kujadili sana wakati ukijua wazi kwamba angani ndio kuna hizo sayar mbaramwez na kila kitu
 
Back
Top Bottom