Hizi ishu za Mungu/Dini ni very complicated

Los santos

JF-Expert Member
Jan 14, 2021
961
2,038
Nimekuwa nikikutana na maswali mbalimbali kuhusu dini au Mungu mfano

Niliwahi kuulizwa matendo mema yaliumbwa na nani nikajibu Mungu aliumba mema. Nikaulizwa tena mabaya yaliumbwa na nani nikakosa jibu.

Jamaa akaniambia Mungu wako aliumba mema na mabaya na akakuumba binadamu dhaifu na ukifanya mabaya au kumchagua shetani unapelekwa motoni . Swali ni je ikiwa unajua binadamu ni dhaifu kwanini umuwekee ujuzi wa mabaya na akikosea aende motoni kwanini mabaya yasiondolewe binadamu abaki na ujuzi wa mema au kwanini akimchagua shetani umchome moto...

Kingine Kwa msisitizo, KAMA MUNGU ANAJUA YA MBELE (KUWA ADAMU ATAASI)au SHETANI ATAASI KULIKUWA NA HAJA GANI KUJISUMBUA KUUMBA DUNIA MPAKA AKACHOKA NA KUPUMZIKA. UNGEKUWA WEWE UNGEJENGA NYUMBA AMBAYO UNAJUA KESHO INAENDA KUBOMOKA? MAMBO MENGINE TUSIWEKE UGUMU KUELEWA.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Dini zote Zina sema kuwa mungu ana wapenda binaadamu wote bila kujali rangi zao hana matabaka , dini hizo hizo zinasema mungu ndiye mlinzi wa binaadamu lakini Kwa Sasa tunashindwa kuona akitoa ulinzi huo Kwa wa Congo, na badala yake ameiacha kwenye vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe, kwenye mauaji ya rwanda watu walichinjwa makanisani bila Mungu kuingilia,, watu wanakufa , watoto wazee , wajane mungu yupo tu ana watizama, kama anaupendo wa kweli na ana nguvu kwanini asizuie machafuko yasiendelee kuwepo ( nimekupa huu mfano ila najua utajifanya hunielewi )
 
Na hata huyo binadamu mwenyewe akitengeneza kitu chochote iwe mashine au chochote kile hakiwezi kua 100% perfect yaani coefficient of machine haiwezi kua 100% hata itoke kiwandani muda huu na chochote kile kingine mpaka vyakula, lazima kitakua na kasoro fulani
Binadamu haki yake kuwa na kasoro sasa Mungu muweza wa yote kasoro inatokea wapi na kwanini?
 
Kingine Kwa msisitizo, KAMA MUNGU ANAJUA YA MBELE (KUWA ADAMU ATAASI)au SHETANI ATAASI KULIKUWA NA HAJA GANI KUJISUMBUA KUUMBA DUNIA MPAKA AKACHOKA NA KUPUMZIKA.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Swali jingine kwanini Mungu afanye kazi mpaka ACHOKE??? Na akichoka wakati wa kupumzika hufanya nini?? Analala, anakunywa maji ya baridi, sharubati au mvinyo??
 
Na hata huyo binadamu mwenyewe akitengeneza kitu chochote iwe mashine au chochote kile hakiwezi kua 100% perfect yaani coefficient of machine haiwezi kua 100% hata itoke kiwandani muda huu na chochote kile kingine mpaka vyakula, lazima kitakua na kasoro fulani
Kwamba unataka kusema na Mungu ana kasoro?

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Tena wanazuoni na wafia dini wanatusisitizia kabisa kuwa kuna maswali hatupaswi kuuliza kuhusu Mungu, tumeekewa na mipaka kabisa tusije kukufuru, nyiiiee!
Mim ni muamini wa kristo lakini Kuna vitu ningependa kujua mapema kabla ya kusubiri kufika sehem ambayo sijaiona ambayo ni mbinguni

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Dini zote Zina sema kuwa mungu ana wapenda binaadamu wote bila kujali rangi zao hana matabaka , dini hizo hizo zinasema mungu ndiye mlinzi wa binaadamu lakini Kwa Sasa tunashindwa kuona akitoa ulinzi huo Kwa wa Congo, na badala yake ameiacha kwenye vita kubwa ya wenyewe kwa wenyewe, kwenye mauaji ya rwanda watu walichinjwa makanisani bila Mungu kuingilia,, watu wanakufa , watoto wazee , wajane mungu yupo tu ana watizama, kama anaupendo wa kweli na ana nguvu kwanini asizuie machafuko yasiendelee kuwepo ( nimekupa huu mfano ila najua utajifanya hunielewi )
siwezi nikajifanya sielewi ,na hapa ndo chimbuko LA maswali hayo kwenye post , pia labda inawezekana mpaka Sasa kizazi cha Leo hatujajua Mungu anafikiwaje,japo binafsi naamini Mungu yupo ila usije sema nithibitishe ,siwezi kuthibitisha ila naamini Mungu yupo

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Halafu jingine, amenyamaza kimya kama vile hayupo.
Wananzengo wanatumi huo mwanya kuwapiga hela wanaomtafuta.
Mim nachoweza kusema hatujui njia ya kumfikia Mungu ili ajibu maombi yetu manake mambo yanavyoenda ni vice versa kbsa Yani Kuna wakati kama maombi hayajibiwi japo majaribu ni sehem ya maisha yetu

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Nimekuwa nikikutana na maswali mbalimbali kuhusu dini au Mungu mfano

Niliwahi kuulizwa matendo mema yaliumbwa na nani nikajibu Mungu aliumba mema. Nikaulizwa tena mabaya yaliumbwa na nani nikakosa jibu.

Jamaa akaniambia Mungu wako aliumba mema na mabaya na akakuumba binadamu dhaifu na ukifanya mabaya au kumchagua shetani unapelekwa motoni . Swali ni je ikiwa unajua binadamu ni dhaifu kwanini umuwekee ujuzi wa mabaya na akikosea aende motoni kwanini mabaya yasiondolewe binadamu abaki na ujuzi wa mema au kwanini akimchagua shetani umchome moto...

Kingine Kwa msisitizo, KAMA MUNGU ANAJUA YA MBELE (KUWA ADAMU ATAASI)au SHETANI ATAASI KULIKUWA NA HAJA GANI KUJISUMBUA KUUMBA DUNIA MPAKA AKACHOKA NA KUPUMZIKA. UNGEKUWA WEWE UNGEJENGA NYUMBA AMBAYO UNAJUA KESHO INAENDA KUBOMOKA? MAMBO MENGINE TUSIWEKE UGUMU KUELEWA.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Pia kwa nini atuumbe halafu atulazimishe kumuabudu na kutoa sadaka, kwani tusipomuabudu yeye atapungukiwa na kitu gani? Au atafirisika??
 
Binadamu haki yake kuwa na kasoro sasa Mungu muweza wa yote kasoro inatokea wapi na kwanini?
Kama binaadamu ni haki kuwa na kasoro basi watu wasingeadhibiwa kwa kuvunja sheria za nchi kwa kasoro mbalimbali, ila sisi sisi binaadamu ambao tunafahamu kwamba sio wote tunajua sheria ila utakuta tunaambiana kutokujua sheria sio kinga ya kutoshtakiwa.
 
Back
Top Bottom