Kama mtanzania ninajiandaa kumburuza Lusinde mahakamani

Mkuu ntakuunga pia mkono kwa asilimia mia cha msingi tuwekee njia za kukutumia kiasi chochote kwa ni huyu hamnazo kabisa
 
​kwa jina naitwa classroom teacher,mkazi wa jiji mwanza nina elimu ya juu kutoka chuo kilichojengwa na baba yangu (udom).
my dears...ninaufahamu kidogo sana na masuala ya sheria,lakini haitakua tija ya mimi kutekeleza adhma yangu.
Baba yangu alikua hakimu mkazi na kwa wadhifa wake aliwahi kumuhukumu jamaa mmoja kifungo cha miaka 3 jela bila faini kwa kosa la kutoa matusi hadharani....nina uhakika sheria hii haijafutwa na bado inanguvu kama si kuboreshwa zaidi.
Kumbe ndugu watanzania ninayofursa ya kikatiba kumshtaki bwana livingston lusinde mahakamani kwakosa la kutoa matusi hadharani endapo jamhuri haitamchukulia hatua za kisheria....hii adhma yangu nitaitekeleza ndani ya siku saba kama jamhuri itaendelea kukumbatia huu uhuni uliofanywa na kiongozi mkubwa kama huyu.sikuwai kuisoma ama kuisikua lakini leo nimefanya hivyo na nikapandwa na hasira
pili,mimi kama mkatoliki nimefadhaishwa sana kwa bwana lusinde kudhalilisha kanisa langu kwa tafsiri kua wanakwaya wetu hupewa mimba na mapadre...kwa hili nimelia sana,,,sitanii...nimelia kwakua mama yangu alikua mwanakwaya na mimi ni mwanakwaya,,dada zangu watatu ni wanakwaya,,,kumbe watapewa mimba na mapadre???huu ni udhalilishaji wa imani yetu...kwa hili ninamuomba mr.lusinde atoe ushahidi wa wanakwaya kupewa mimba na mapadre zaidi amuhusishe dr.slaa na hilo tukio...akishindwa ndani ya siku tatu nitamburuza cortini,,kwani kesho nitaenda kuonana na mhashamu baba askofu wa jimbo kuu la mwanza.
Mwisho nasisitiza kumshtaki mr.lusinde mahakamani kwakulidhalilisha taifa langu na kuvunja sheria za jamhuri...
Shame on you lusinde

Wamezoea hawa magamba kutukana mitusi ovyo.Tukomae nae huyu Deadstone ******** hadi akale mvua3 jela
 
Kafungue kesi kesho haraka kama ukiitaji msaada wa kifeza tigo pesa na m-pesa tutakutumia.
 
Wazo zuri sana, ila kila nikijifikiria haya:
Lusinde wa ccm
Mahakama ya ccm
Jaji wa ccm
kwa akili zao watakuchukulia wewe ni chadema kwa hiyo usitarajie kupata haki hapo
 
Binafsi nampongeza huyu kijana kwa nia yake hiyo, ila napata kigugumizi kwa waliojitokeza na kudai ku-support kwa fedha na ushahidi. Kama hawa ni wa kweli, kwanini wengi wao wasubirie kijana akafungue kesi ndipo wao wa-support? Kwanini wao wenyewe, pamoja na hela na ushahidi walionao, wasifungue kesi? Huu sio woga na unafiki wa Watz walio wengi?

Tena mwingine analaumu wazee kwa kukaa kimya, hivi yeye kama kijana mbona amebaki kulaumu tu asichukue hata uamuzi kwa kwenda mahakamani? Heri wangekaa kimya tusisikie hata unafiki wao huu!

Tanzanians?? Maneno mengi, matendo sifuri!
 
Back
Top Bottom