johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,952
- 141,941
Baada ya kufuatilia kwa makini ushahidi wa Mrosso kwenye kesi ya Sabaya nimegundua inawezekana ni kweli watu huwa wanabambikiwa kesi kwa maslahi binafsi.
Sasa ndio najiuliza ni nani alitoa taarifa polisi kuwa mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe alitaka kumuuwa mkuu wake wa wilaya mh Lengai Ole Sabaya?
Ni tafakari pana sana.
Maendeleo hayana vyama!
Sasa ndio najiuliza ni nani alitoa taarifa polisi kuwa mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe alitaka kumuuwa mkuu wake wa wilaya mh Lengai Ole Sabaya?
Ni tafakari pana sana.
Maendeleo hayana vyama!