Kama mikutano ya CHADEMA ndio hii, ninamuhurumia sana Bernard Membe

Refernce picha ya TBC iliyopigwa saa tatu asubuhi?
Yapo maswali mengi ya kujiuliza kuhusu ufunguzi wa kampeni ya CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu:-
1) Japo yawezekana ni picha ya TBC ilikuwa ya asubuhi, hata "video clip" ya msafara kuelekea kwenye ufunguzi wa kampeni ilipigwa na TBC? Je, viongozi wameona umati wa watu barabarani wakiwashangilia?
2) Kwamba CHADEMA haina Idara ya Mawasiliano na Mahusiano imara ya kuandaa kuonesha mubhashara shughuli muhimu kama hiyo?
3) Kwamba CHADEMA haina Ilani ya Uchaguzi ila mwendelezo wa lawama na madai yale yale dhidi ya Serikali?
4) Je, ilikuwa sahihi kupitisha bakuli la msaada bila kuwaambia unaowaomba msaada iwapo wakikipa CHADEMA ridhaa yao ya kuingia Ikulu watarajie nini?

Itoshe kusema kuwa Viongozi wa CHADEMA, wakubali zamu hii wamekosea na hawakuwa na maandalizi ya kutosha. Hivyo basi waombe msamaha ndipo wawe na UHALALI wa kuishutumu Serikali. Pia wasiwaombe wanachama na wafuasi kuandamana kwa hicho wanachoita madai bila kuwambia ni kwa maslahi ya nani kama siyo ya viongozi kupata madaraka.
 
Yapo maswali mengi ya kujiuliza kuhusu ufunguzi wa kampeni ya CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu:-
1) Japo yawezekana ni picha ya TBC ilikuwa ya asubuhi, hata "video clip" ya msafara kuelekea kwenye ufunguzi wa kampeni ilipigwa na TBC? Je, viongozi wameona umati wa watu barabarani wakiwashangilia?
2) Kwamba CHADEMA haina Idara ya Mawasiliano na Mahusiano imara ya kuandaa kuonesha mubhashara shughuli muhimu kama hiyo?
3) Kwamba CHADEMA haina Ilani ya Uchaguzi ila mwendelezo wa lawama na madai yale yale dhidi ya Serikali?
4) Je, ilikuwa sahihi kupitisha bakuli la msaada bila kuwaambia unawaomba msaada iwapo wakipa CHADEMA ridhaa yao ya kuingia Ikulu watarajie nini?

Itoshe kusema kuwa Viongozi wa CHADEMA, wakubali zamu hii wamekosea na hawakuwa na maandalizi ya kutosha. Hivyo basi waombe msamaha ndipo wawe na UHALALI wa kuishutumu Serikali. Pia wasiwaombe wanachama na wafuasi kuandamana kwa hicho wanachoita madai bila kuwambia ni kwa maslahi ya nani kama siyo ya viongozi kupata madaraka.


CCM ndiyo ipo kwa maslahi ya wananchi?

Siasa ni kazi ya kuwatumikia wananchi kama zilivyo kazi nyingine mfanyakazi anawatumikia wananchi yeye anapata mshahara,tafauti ni kwamba kazi ya siasa imekuwa na maslahi makubwa zaidi.

Magufuli na kundi lake la wana CCM wanatafuta maslahi yao kwa kututumikia wananchi kama wananchi hatujarizika na utumishi wao tuna haki ya kuwatimua kazi na kuajiri kundi la wasaka maslahi wengine ili watutumikie. Hii nchi si Mali ya kikundi cha CCM ni Mali ya wananchi ukileta maendeleo umetimiza wajibu wako kwa mshahara na marupurupu tunayokulipa kwa kodi zetu.
 
ohh masikini mataga
361A7872-1443-4466-BB89-6E64D2BDA367.jpeg
6877183C-3F61-4324-9530-3E4E980D5FB9.jpeg
C0F7468A-20BB-4E07-A273-23FE68CA0B08.jpeg
 
Mbulu yametoka mabasi manne kwenda Dodoma sijui Babati,Kondoa,Hanang,Singida,sisiem bhana mnajitekenya
 
Vijana wa lumumbas
Sio muwaache chadema waendeleena mambo yao?

Ama kwann mnawaengua wagombea wao? Mlisema CDM imekufa sawa. Sasa kwann kuwaondolea wagombea wao?

Sikunhizi nimeweka hadi viti maalum kwa wanaume.....shame shame on you ccm
 
Back
Top Bottom