Kama mikutano ya CHADEMA ndio hii, ninamuhurumia sana Bernard Membe

Naomba kuwajua wagombea was ccm walioenguliwa kwa sababu zozote then uje tudiscuss kama kuiongelea ilani ya chadema ya uchaguzi ilikuwa muhimu for yesterday

Na kama ccm ina wagombea smart kuzidi hawa wa upinzani kwamba hawana pingwmizi lolote kutoka kwa tume why wakiingia bungeni wanaishia kusema NDIYOOOOOO
Nadhani ukitembelea tovuti ya Tume ya Uchaguzi unaweza kuyapata!
 
Tukubali tukatae, upinzani nchini una hali ngumu sana sio kifedha tu bali pia katika uhamasishaji! kwa kifupi, HAUKUJIPANGA VIZURI!

Mkutano wa ufunguzi wa CHADEMA umetoa majibu mengi kuhusu mustakabali wa vyama vya upinzani nchini!

Kupiga kelele nyingi haina maana kuwa wanaopiga kelele ni wengi! Ufunguzi wa kampeni wa CHADEMA umedhihilisha usemi huu!

Pamoja na CHADEMA kuchagua sehemu yenye uwanja mdogo katika ufunguzi wa kampeni lakini hata kuujaza walishindwa!

Kama CHADEMA ambayo ''tunaambiwa ina mgombea anayesubiri kuapishwa'' inakuwa katika hali ile kwenye ufunguzi wa Kampeni, vipi itakuwa kwa Bernard Membe ambaye safari yake ya kwenda Ikulu inafifia kabla hata ya kufungua kampeni za ACT-Wazalendo kitaifa!

Kwa niliyoyaona kwa CHADEMA, kama wapinzani hawataungana haraka sana kuna hatari ya bunge kuwa na wabunge kutoka CCM zaidi ya asilimia 90!

Ninajua kuna ''manazi'' wa upinzani watakuja hata ''kupiga kelele'' lakini hali halisi itabaki kuwa hali halisi.

Kwa mfano, upinzani utaitishaje maandamano ili kupinga suala fulani na kupata waandamanaji wengi na wenye kukabiliana na lolote wakati vyama vya upinzani vinawekeana mapingamizi NEC.

Tatizo CHADEMA wamewakashfu/kuwatukana CUF na NCCR-Mageuzi wakati hawajaufikia mto achilia mbali kuuvuka! Kwa sasa ninavyodhani itakuwa vigumu CUF na NCCR-Mageuzi kuungana na CHADEMA.

Huu ni ushauri tu kwa sababu ninapenda angalau upinzani uwe na asilimia 30 ya wabunge wa Tanzania!

Kuna msemo usemao, ''Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, atavunjika ghafula, wala hapati dawa'
CCM INAFANYA TAMASHA LA MUZIKI DODOMA
 
Nilishawahi kusema JF imeshakosa uhalisia wa neno GREAT THINKERS,,, LISU amezindua mbagala mkutano, siyo dar. .mlitaka watu wa gongo la mboto waende mbagala wakati wameambiwa wasubiri watafikiwa. Na siyo lazima watu wasombwe na magari. Kura iko mioyoni mwa watu...siasa ni sayansi halisi siyo feki ya kuita MSAGA SUMU alazimishe wanafunzi kuja kusikiliza. .ndo mana CCM inaweka mpira kwapani
 
Nadhani ukitembelea tovuti ya Tume ya Uchaguzi unaweza kuyapata!
Wataalam wa computer science kwa mawazo hayo watakwambia kichwa kina virus thereforth needs antivirus to deal with it. Ulimwengu wa kistaarabu tulionao saizi unaogopa kushindana kwa hoja unapita kwa mapingamizi meanwhile chama chako wote wakipita how comes
 
Unaleta ushahidi wa picha ya TBC? Pumbavu kabisa, wameweka picha ya saa 5 ndiyo wanatuaminisha nfiyo mahudhurio ya wananchi hayo? Ndiyo maana Mbowe aliwatimua uwanjani!
Picha ya saa tano yenye vivuli virefu zaidi ya kimo cha mwenye kivuli!

Ungesema picha ya saa mbili za asubuhi ambapo mpaka viongozi wakuu walikuwa wamewasili jukwaani!
 
Na ni yaleyale tu. 2015 mpaka siku ya mwisho wa kampeni, tuliambiwa ilani tukasome kwenye Website, 2020 tunaambiwa ilani haisomwi mpaka siku watu wakiwa wengi uwanjani😂😂
Bila ilani CDM walishinda uchaguzi,hawakutangazwa
 
Huoni kama ungesindikiza hizi kelele zako na picha hata ya ku-edit ungeeleweka vizuri zaidi?

Ni kelele kwasababu licha ya kuaminisha vipofu Chadema haina mvuto, lakini kila siku mnawaengua wagombea wake bila sababu za msingi, atleast ungeleta thread kuhusu huo ujinga wa Tume ningekuelewa, tofauti na hapo ni kelele tu.
 
Ukweli usemwe.
Mzuka wa Chadema haupo. Si kama mwaka 2010 na 2015.Hii inasababishwa na sababu nyingi, lakini moja kubwa ni ile hamahama ya baadhi ya viongozi wake kuunga mkono juhudi imewakatisha tamaa watu wengi. Inawapa nafasi CCM kuendelea kupeta tu.
 
Kwanini Membe na sio Lipumba au mgombea wa NCCR?
Tunaona CCM mlivyojipanga kwa kujaza wasanii!
 
Tukubali tukatae, upinzani nchini una hali ngumu sana sio kifedha tu bali pia katika uhamasishaji! kwa kifupi, HAUKUJIPANGA VIZURI!

Mkutano wa ufunguzi wa CHADEMA umetoa majibu mengi kuhusu mustakabali wa vyama vya upinzani nchini!

Kupiga kelele nyingi haina maana kuwa wanaopiga kelele ni wengi! Ufunguzi wa kampeni wa CHADEMA umedhihilisha usemi huu!

Pamoja na CHADEMA kuchagua sehemu yenye uwanja mdogo katika ufunguzi wa kampeni lakini hata kuujaza walishindwa!

Kama CHADEMA ambayo ''tunaambiwa ina mgombea anayesubiri kuapishwa'' inakuwa katika hali ile kwenye ufunguzi wa Kampeni, vipi itakuwa kwa Bernard Membe ambaye safari yake ya kwenda Ikulu inafifia kabla hata ya kufungua kampeni za ACT-Wazalendo kitaifa!

Kwa niliyoyaona kwa CHADEMA, kama wapinzani hawataungana haraka sana kuna hatari ya bunge kuwa na wabunge kutoka CCM zaidi ya asilimia 90!

Ninajua kuna ''manazi'' wa upinzani watakuja hata ''kupiga kelele'' lakini hali halisi itabaki kuwa hali halisi.

Kwa mfano, upinzani utaitishaje maandamano ili kupinga suala fulani na kupata waandamanaji wengi na wenye kukabiliana na lolote wakati vyama vya upinzani vinawekeana mapingamizi NEC.

Tatizo CHADEMA wamewakashfu/kuwatukana CUF na NCCR-Mageuzi wakati hawajaufikia mto achilia mbali kuuvuka! Kwa sasa ninavyodhani itakuwa vigumu CUF na NCCR-Mageuzi kuungana na CHADEMA.

Huu ni ushauri tu kwa sababu ninapenda angalau upinzani uwe na asilimia 30 ya wabunge wa Tanzania!

Kuna msemo usemao, ''Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, atavunjika ghafula, wala hapati dawa'

Maelezo yako yanahitimisha kuwa CHADEMA na vyama vya upinzani kwa ujumla haviakisi matarajio ya Watanzania wengi. Kwamba “upinzani” uliopo ni mzigo (liability) badala ya kuwa tegemeo (asset) kwa wananchi.

Bado unafikiri kuna haja ya “upinzani” nchini? Kwamba ni kiasi cha kuungana tu (wawe chama kimoja) ndipo wapate uungwaji mkono mkubwa? Kwa mantiki hiyo, dhana ya mfumo wa vyama vingi itakuwa na maana ipi na manufaa gani kwa Mtanzania ikiwa vyama vyote vitakuwa na mtazamo wa aina moja na lengo kuu ni kupata fursa za u-Rais, ubunge na udiwani tu! Tena kwa upinzani wasiguse u-Rais kabisa!

Ni kama vile inavyonipa taabu kuelewa kwa nini UDP na LDP wasitangaze kuvunja vyama vyao na wote kuhamia CCM. Baada ya maazimio ya mikutano yao mikuu, sioni kama wana “raison d'être” tena.

Ukiwa mnazi wa CCM, unaweza kufikiria (envision) CCM ikiwa chama pinzani na jinsi utakavyokitengenezea mikakati ya kurejea madarakani au kupata wabunge + madiwani wengi bila kuwa na nyenzo za dola wala mwenyekiti mwenye madaraka yote ya ki-Rais (absolute power) kama ilivyo sasa?
 
Lete picha

IMG_1799.jpg

Hiyo hapo
 
Kuna tofauti ya watu kupewa posho na usafiri hlf wakaenda mkutanoni na watu kwenda kwa hiyari. Kuna tofauti ukimweka juma nature jukwaani wa mbagala tutajaa tu. Wapinzani wanaenda kusikilizwa na watu wanaotaka kusikiliza sera na wengine hao wanajaza uwanja kwa kua watu wanaenda kumuona simba anaperform.
 
Back
Top Bottom