Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,865
Hahahaaaa ukistaajabu ya polepolee utafurahia ya mangungu
mwenyekiti wa Simba ameibuka na kusema hawahusiki kabisa na swala la kuvuja jezi
kama viongozi walifanya sehemuyaoo na kama kuna ivujujaji wa jezi vasi waulizwe wengine nasio viongozi wa Simba
swali la 1
Unasema kama kuna uvujaji
unamaanisha hukuona hizi picha za jezi kabla ya uzinduzi wenu na baada ya kuzindua mnaleta zilezile ambazo wengine tumegaia ma gfriend ijumaa iliyopita kwenye bday tegeta
2.Kama kiongozi mkubwa unaweza kujitokeza kujitoa swala la uvujaji wa jezi je nani alievujisha
1.Yanga
2.wachezaji wa Simba
3.wafanyakazi wa Simba hapo clubs
4.waliotengeeneza jezi..nenden mjipange hizi dili chafu mlizofanya mkubaliane hamtozifanya tena na hakuna siri dunian
Wite wanajua baada ya kusaini kuna baadhi yenu mlitumiwa mizigo kabla ya miziigo ya club muweze kuwapiga watu mapemaaa
Mengine ntarudi tenaa...
Mangunguu
omba radhi wana simbaa pls
mwenyekiti wa Simba ameibuka na kusema hawahusiki kabisa na swala la kuvuja jezi
kama viongozi walifanya sehemuyaoo na kama kuna ivujujaji wa jezi vasi waulizwe wengine nasio viongozi wa Simba
swali la 1
Unasema kama kuna uvujaji
unamaanisha hukuona hizi picha za jezi kabla ya uzinduzi wenu na baada ya kuzindua mnaleta zilezile ambazo wengine tumegaia ma gfriend ijumaa iliyopita kwenye bday tegeta
2.Kama kiongozi mkubwa unaweza kujitokeza kujitoa swala la uvujaji wa jezi je nani alievujisha
1.Yanga
2.wachezaji wa Simba
3.wafanyakazi wa Simba hapo clubs
4.waliotengeeneza jezi..nenden mjipange hizi dili chafu mlizofanya mkubaliane hamtozifanya tena na hakuna siri dunian
Wite wanajua baada ya kusaini kuna baadhi yenu mlitumiwa mizigo kabla ya miziigo ya club muweze kuwapiga watu mapemaaa
Mengine ntarudi tenaa...
Mangunguu
omba radhi wana simbaa pls