Kama maji yameongezeka mto Ruvu ndani ya saa 48, basi hata Kidatu, Kihansi na Pangani yataongezeka kama wanaohujumu wakidhibitiwa

Huwa nawaza sana nafikia conclusion labda our frontal cortexes are lacking, mtu mweusi ni kama hajielewi vile. Haiwezekani tukawa nyuma kiasi hiki kwa miaka 60 ya uhuru na bado mambo ya kijinga kijinga yanakuwa entertained. Ni watu wa ajabu sana sisi. Ngoja niishie hapa.
 
Timu mbili ndani ya Tanesco zinashambuliana sisi wananchi ndiyo tunaumia - Sisi tunataka umeme malumbano yenu hayana tija kwa sasa.

Huyo mchini alipewa kibali na nani? mchina si mjinga awekeze bustani ya ma-million ya hela bila kujua maji atayapata wapi.
 
hii nchi ya limaku sana, watu waliomba mabadiliko ya katiba wakaambia acheni nitengeneze uchumi kwanza watu wakiwa wanasubulia huo uchumi utengenezwe ghafla mnaletewa mgao wa umeme kwa ngonjera za upungufu wa maji mitoni, ila ukweli maji yapo ya kutosha sema wanasiasa baada ya kuona jua kali wakajua hata tukisingizia maji yamepungua hawa ng'ombe wataelewa tu na atakaebisha tunampa kesi ya ugaidi akaungane na kina adamoo kule segedansi
 
Kumbe yule mchina ana vibali na baraka zote toka serikali kuendeleza shughuli za kilimo katika eneo lile pamoja na kutumia maji kwa irrigation, ukistaajabu ya musa...

Sasa kama hamukuweka kipengelea ya yeye kuacha kutumia maji ya mto Ruvu wakati wa kiangazi (uhaba) hilo si tatizo lake.
 
Na huu ndo urithi wa Magufuli.

Watanzania tulihoji tu ukame uko kila mwaka, iweje wakati wa Magufuli hakukuwa na mgao wa maji wala umeme?

Walioshika mpini walikuwa wanataka kuleta ujinga, ila naona wameelewa somo.

N
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…