Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Sukuma gang wote wamevurugwaAliyevurugwa ni nani hebu acha kuzingua wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang wote wamevurugwaAliyevurugwa ni nani hebu acha kuzingua wewe
Si wanatuona kuwa sote ni "mbumbumbu ulimwengu uko huku"Huyo aweso na mcherengwa ndio mawaziri wa hovyohovyo hawana sifa za kua mawaziri,unasema pump ya diesel ile tumeona inavutwa lita 1myani ni vituko...yani pump hp haizidi 10 ivute lita hizo,ccm woyee
Huyo aweso ni mtu wa kiki hana mchango wowote kwenye baraza la mawaziriNatamani nimuhoji kwa hisabati huyo mdawasa na.hizo.claims za 1m litres zake hizo
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mbumbumbu ni yeye na aliemteua kua waziriSi wanatuona kuwa sote ni "mbumbumbu ulimwengu uko huku"
Timu mbili ndani ya Tanesco zinashambuliana sisi wananchi ndiyo tunaumia - Sisi tunataka umeme malumbano yenu hayana tija kwa sasa.Ni dhahiri kuwa maneno ya hayati JPM yana ukweli kuwa hujuma ya kufungulia maji ili yasiende kwenye vyanzo vya kuzalisha umeme vya, Kihansi, Kidatu, Mtera na kwingine ndio chanzo cha mgao na tatizo la umeme hapa Bongoland.
Kama raia wa China na muwekezaji alikuwa anachepusha lita Mil moja kwa saa amedhibitiwa ndani ya masaa 48 na tayari maji yameongezeka mto Ruvu, hivyo hata wanaohujumu vyanzo vya kuzalisha umeme wakidhibitiwa mgao na upungufu wa umeme utapungua.
My take; Maneno ya hayati kuwa vyanzo vya kuzalisha umeme huwa vinahujumiwa kwa kufungulia maji yana ukweli.
Lissu si ndio mungu mwenyewe ndio maana hafi, Magufuli kafariki kwa sababu sio mungu.Nakubaliana na hilo kuwa utukufu upo kwa mh Lissu na nikwa miujiza ya Mungu tu
Na Magufuli hakuwa mungu ila wafuasi wake ndiyo walimpachika hicho cheoLissu si ndio mungu mwenyewe ndio maana hafi, Magufuli kafariki kwa sababu sio mungu.