Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Hadithi zenu ni zile miaka ya nyuma kulikua hakuna wasomi,sasa tulikuwa tunashtuka kuskia wasomi hahaaa,kumbe ni watu wa kawaida tu.
Sasa mnaona eti ni msomiiiii,yaani mnachekesha,eti yaani kashusha vifungu nonsense,kila mtu ni expert kwenye eneo lake,niko sure sayansi hajui.
Sheria si ngwini tu,kukariri kwa sana.
Kina Orengo na PLO Lumumba wasemeje sasa.
Hata hapa Bongo kuna Wanasheria wengi tu kumzidi.
Yeye anajua sheria,ila Magu ni Mwanasayansi na hawanaga maneno mengi.mnajua vizuri sayansi na ngwini nani babalao.
Na usiniquote.
 
Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au?
Kweli mna mambo mengi yakufanya kwani uongo 😂😂😂😂😂 unadhani kutumia wasanii zaidi ya 200 mchezo!!! Mlijua battle itakuwa kama yule mzee wa maneno matatu Elimu Elimu Elimu😂😂
 
Wachache sana wamemuelewa Tundu Lissu. Pia kunawalio muelewa lakini wanajifanya hawakumuelewa wanapotezea.

Kiukweli somo tumelipata,Tundu Lissu ametufundisha na kututoa matongotongo sehemu ambayo tuliambua pana haki inatendeka. Ametuambia ,"Je,mimi na wewe tumekwisha kujua kama tume ipo kwa manufaa ya cha tawala.
Haeleweki tundu😁😁😁😁
 
Watz wanaowajibu wa kuukomesha uhuni ufanywao na Hawa wakurugenzi ili kudumisha amani yetu, wagombea wa ccm baada ya kuona hawana uwezo wa kushinda utumia pesa zao za kampeni kuwahonga wakurugenzi na polisi ili wapite bila kupingwa kwa kuwanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wawatakao huu Ni uhuni,
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.

Hivyo sasa wewe mwenye akili toa ushauri wafanye nini ilikufanikiwa? Au ulitaka wawachie nyani hao wasio na aibu shamba?
 
Umefwatisha hatua Kwa hatua hoja za hayo mapingamizi? Ni ngumu kuzielewa kama hujafwatilia Kwa makini au kama huna uelewa wa kutosha. Kuna kitu kwenye Sheria kinaitwa "TUME". Tafsiri ya Neno TUME huitungi wewe, ipo kisheria.

Ukitaka kujua umuhim wa kuwa na passport size photos zinazokubalika kisheria, kaombe visa na passport yenye background au umri unaotaka wewe ndio utaona umuhim wa kufwata maelekezo ya passport size photos.
wengi wetu hatuji chochote zaidi ya ushabiki. Sheria iliyotumika kuwaekea pingamizi ni ya Tume yenyewe lakini Tume imetumia mamlaka badala ya sheria.
 
Kiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.

Habari zenu wanajukwaa wenzangu.

Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza wagombea wote na tume yenyewe.

Binafsi nilitegemea pingamizi za TAL dhidi ya wagombea wenzie zijibiwe na wahusika wenyewe. Lakini NEC imejitokeza hadharani na kuzijibu tena chini ya kiwango pasipo na weridi wa vifungu vya kisheria.

Maoni yangu uwenda kuna shinikizo toka juu ama laa mnamtu wenu mtampitisha kwa nguvu hata kama hatashindwa kwenye uchaguzi huu. Kwa maana hiyo ya Jeche 2015 kule Zanzibar yatajirudia na huku bara.

Je, vipi kuhusu waliopita bila kupingwa na wao umetengua baada ya jana kuinajisi Sheria yenu ya Uchaguzi? Inamaanisha wakina Devotha na wengineo waliofanyiwa figisufigisu zenu watarudishwa na kuwapitasha ili nawao walete ushindani?

Kama haya yote yatafanyika, kunahumuimu gani wakutunga Sheria ambazo nyinyi wenyewe si waumini wazuri wa hizo Sheria?
Hakuna kitu hapo mkuu
 
Watz wanaowajibu wa kuukomesha uhuni ufanywao na Hawa wakurugenzi ili kudumisha amani yetu, wagombea wa ccm baada ya kuona hawana uwezo wa kushinda utumia pesa zao za kampeni kuwahonga wakurugenzi na polisi ili wapite bila kupingwa kwa kuwanyima wananchi haki ya kuchagua viongozi wawatakao huu Ni uhuni,
Kunakitu kikubwa kitatokea katika uchaguzi huu,kupitia tume unayojitamba ipo huru na kupitia wakurugenzi.
 
Kiukweli Tume ya Uchaguzi imekosa uhalali wa kuendesha uchaguzi huu.

Habari zenu wanajukwaa wenzangu.

Nasema hivi "NEC imepelea kwenye kujibu hoja za Tundu Lissu kizembe". Imekosa uhalali wa kuendelea kusimamia uchaguzi, kwasababu Inajipinga yenyewe na Sheria zake zilizopo ambazo zinaongoza wagombea wote na tume yenyewe.

Binafsi nilitegemea pingamizi za TAL dhidi ya wagombea wenzie zijibiwe na wahusika wenyewe. Lakini NEC imejitokeza hadharani na kuzijibu tena chini ya kiwango pasipo na weridi wa vifungu vya kisheria.

Maoni yangu uwenda kuna shinikizo toka juu ama laa mnamtu wenu mtampitisha kwa nguvu hata kama hatashindwa kwenye uchaguzi huu. Kwa maana hiyo ya Jeche 2015 kule Zanzibar yatajirudia na huku bara.

Je, vipi kuhusu waliopita bila kupingwa na wao umetengua baada ya jana kuinajisi Sheria yenu ya Uchaguzi? Inamaanisha wakina Devotha na wengineo waliofanyiwa figisufigisu zenu watarudishwa na kuwapitasha ili nawao walete ushindani?

Kama haya yote yatafanyika, kunahumuimu gani wakutunga Sheria ambazo nyinyi wenyewe si waumini wazuri wa hizo Sheria?


wewe kweli unaamini magufuli hakuweka picha? izi porojo zenu ndo znasababisha mpaka mgombea wenu anarushiwa mawe kwenye mikutano yake! na asipoangalia unaweza kua mwisho wa maisha yake sasa maaana watu wasiojulikana wana ham nae wananchi nao ndo wana ham ya kumshusha na mawe, angalieni na mambo mnayongea yasije kusababisha vita zisizo na akili, Tundu lissu ni kichaa ambae ni kilema, unaweza ona combination hio
 
Hakuna Tume hapa na Lissu atabaki kuwa shujaa katikaTaifa hili na jana ameandika historia nyingine mbali na ile ya ku-survive shambulizi la risasi 16.

Unaongea alafu unatuambia hakuna maswali na bado unataka tukuamini wewe na hiyo Tume unayoifanyia kazi!

Pathetic!

watu kama nyie ndo aibu kwa taifa! ivi unajua mwenyekiti wenu ana mda gan kwenye icho kiti, unajua kwamba ametimua watu wakienda bungeni ambayo ni haki yao? unalijua ili? au mnaropoka tu
 
Wakurugenzi kwao uchaguzi imekuwa ni biashara kuchukua pesa za kampeni za wagombea wa ccm ili kuwapitisha bila kupingwa huu ni uhuni wa kuwanyima watu haki ya kuchagua wawakilishi. Na yote haya mwanzilishi wake anafahamika
 
wewe kweli unaamini magufuli hakuweka picha? izi porojo zenu ndo znasababisha mpaka mgombea wenu anarushiwa mawe kwenye mikutano yake! na asipoangalia unaweza kua mwisho wa maisha yake sasa maaana watu wasiojulikana wana ham nae wananchi nao ndo wana ham ya kumshusha na mawe, angalieni na mambo mnayongea yasije kusababisha vita zisizo na akili, Tundu lissu ni kichaa ambae ni kilema, unaweza ona combination hio
Hapana,Lissu hakumaanisha hakuna picha kabisa! Alimaanisha picha iliyotumiwa haina vigezo vya kuitwa picha ya pasipoti size.
 
Wakurugenzi kwao uchaguzi imekuwa ni biashara kuchukua pesa za kampeni za wagombea wa ccm ili kuwapitisha bila kupingwa huu ni uhuni wa kuwanyima watu haki ya kuchagua wawakilishi. Na yote haya mwanzilishi wake anafahamika
Lissu amesema hatokubali kuona dhuluma ama sheria ikipindishwa ili mradi apitishwe mtu flani hapana.
 
Jinga kweli wewe,picha yenye viwango vya hati ya kusafiria inakubalika hiyo na vipi hiyo picha kuwa na umri zaidi ya miezi mitatu? vipi mihuri ya watu wa NEc wa majimbo?jibu na hizo hoja.

Watu wamekatwa sababu herufi moja kasahau kuwka herufi kuwa wewe unashangaa sikio na mtu kuangalia upande?
Sasa wewe huoni kama ndio jinga?

Unaposikia wasimamizi wa uchaguzi majimboni unapata picha gani?

Hao ndio NEC wenyewe,

Au kwa akili yako unafikiri nec ni ya majengo?
 
Back
Top Bottom