Tressa
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 954
- 1,040
Hadithi zenu ni zile miaka ya nyuma kulikua hakuna wasomi,sasa tulikuwa tunashtuka kuskia wasomi hahaaa,kumbe ni watu wa kawaida tu.
Sasa mnaona eti ni msomiiiii,yaani mnachekesha,eti yaani kashusha vifungu nonsense,kila mtu ni expert kwenye eneo lake,niko sure sayansi hajui.
Sheria si ngwini tu,kukariri kwa sana.
Kina Orengo na PLO Lumumba wasemeje sasa.
Hata hapa Bongo kuna Wanasheria wengi tu kumzidi.
Yeye anajua sheria,ila Magu ni Mwanasayansi na hawanaga maneno mengi.mnajua vizuri sayansi na ngwini nani babalao.
Na usiniquote.
Sasa mnaona eti ni msomiiiii,yaani mnachekesha,eti yaani kashusha vifungu nonsense,kila mtu ni expert kwenye eneo lake,niko sure sayansi hajui.
Sheria si ngwini tu,kukariri kwa sana.
Kina Orengo na PLO Lumumba wasemeje sasa.
Hata hapa Bongo kuna Wanasheria wengi tu kumzidi.
Yeye anajua sheria,ila Magu ni Mwanasayansi na hawanaga maneno mengi.mnajua vizuri sayansi na ngwini nani babalao.
Na usiniquote.