Uchaguzi 2020 Kama leo haya yametokea kwa NEC, vipi kuhusu kesho Matokeo ya Uchaguzi?

Pale mtu anapotoa mapingamizi ya kisheria, na kunukuu vifungu vya sheria kusupport hoja zake kisha ww unamjibu kisiasa, kwa utashi wako, pasipo kuonesha vifungu vya kisheria vya kujibu hoja, hawa watu ni hooligans kabisa, total hopeless!
Tatizo Lisu kawapora akili zenu zote.

Lisu kasema Magufuli hakuweka picha. Nec wameangalia kwenye form za Magufuli wamekuta picha, hilo pingamizi bado lina maana ya kuwapotezea watu muda?
 
ina maana hadi msigwa anadai lissu alisema hakuna picha????ah aha jamani halafu katoa hoja mbili na ile ya kupigwa mihuri kwenye majimbo mbona ile haizungumziwi?
hakusema kwamba hakuna picha kaitoa kasoro picha kutoonekana sikio imekaa upande na ya zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango muda mrefu picha inatakiwa iwe miezi 3 kabla ya uwasilishaji fomu
 
Hayo yote sii ya kuyashangaa ,chakushangaza ni uleutaratibu was hati za dharura,na kupitishwa kwa hoja husika kwa utaratibu was ndiooo ,tuukatae utaratibu huu muda no Sasa,huyu anajaribu kutukumbusha kwa Nia njema ,wapitunapo kosea.
Wanapaswa kujifunza kwa yote yanayotokea sasa,kwa kile walicho kifanya kipindi ambacho walipewa nafasi ya kutunga sheria kwa manufaha ya Taifa lakini wakaendekeza uchama.
 
Mahakama ilikosea sana kuruhusu wakurugenzi kusimamia uchaguzi huu.mambo wanayofanya wakurugenzi kule chini ni aibu sana. Kwa mfano mkurugenzi wa Moro ni kituko zaidi
Wakurugenzi walikuwa ni watu sahihi sana kwa namna walivyokuwa wakipatikana kabla ya December, 2015, maana walikuwa wanachukuliwa miongoni mwa watumishi. Baada ya hapo walianza kupatikana kwa kuteuliwa kutoka nje ya utumishi wa umma, na hasa wakawekwa makada wa chama ambao hawakuwahi kutumikia public service
 
Sasa picha za kwenye form za Magufuli anazoongelea Lisu ni zipi? Hizo siyo picha?
KICHWA chako ni kizima mkuu? umeambiwa picha hiyo ina zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango mitaani muda mrefu sheria ni kwamba picha inayopelekwa iwe latest miezi mitatu kabla ya kuwasilishwa form, na sikio moja halioneani imekaa upande mna shida gani nyie si usisikilize link hiyo hapo juu? au mmeshikiwa akili?
 
Hakuna Tume hapa na Lissu atabaki kuwa shujaa katikaTaifa hili na jana ameandika historia nyingine mbali na ile ya ku-survive shambulizi la risasi 16.

Unaongea alafu unatuambia hakuna maswali na bado unataka tukuamini wewe na hiyo Tume unayoifanyia kazi!!

Pathetic!
Hiyo siyo tume bali ni genge tu fulani limeundwa kutupotezea muda wetu, Tume ya uchaguzi iko hivyo?

Utafikiri wote ni Darasa la saba
 
Mahakama ilikosea sana kuruhusu wakurugenzi kusimamia uchaguzi huu.mambo wanayofanya wakurugenzi kule chini ni aibu sana. Kwa mfano mkurugenzi wa Moro ni kituko zaidi
Mahakama ni sehemu ya CCM.

CCM branches ni POLICE-CCM, UVCCM, MAHAKAMA-CCM.

TISS wako vizuri wako hawana ujinga, wao ni weledi kanuni na uzalendo mkubwa kwa nchi yao mungu awabaariki TISS wanafanya kazi nzuri sana japo mapungufu yanaweza kuonekana kwa sababu nao ni watu wanakosea na kupatia.
 
ina maana hadi msigwa anadai lissu alisema hakuna picha????ah aha jamani halafu katoa hoja mbili na ile ya kupigwa mihuri kwenye majimbo mbona ile haizungumziwi?

Hakusema kwamba hakuna picha kaitoa kasoro picha kutoonekana sikio imekaa upande na ya zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango muda mrefu picha inatakiwa iwe miezi 3 kabla ya uwasilishaji fomu
Yaani picha kukaa upande nayo ni pingamizi?
Huyu Lisu kawa kichaa sasa ee?

Hivi unaposikia wasimamizi wa uchaguzi kwenye majimbo wewe unaelewa nini?

Hao ndio Nec wenyewe,! nec siyo lile jengo pale dodoma ni watu wapo kuanzia huko kwenye majimbo ndio maana hata matokeo yataanza kutolewa kuanzia huko majimboni.,!

Lisu alipopeleka form zake akikaa muda mrefu na aliambiwa wenzie waliotia saini kwa wasimaizi wa uchaguzi majimboni hawakukaa sababu NEC makao makuu hawakuwa na haja ya kuanza kupitia upya kitu kilichopitiwa tayari na wawakilishi wao huko mikoani.

Ndio NEC walipoona mapingamizi ya Lisu wakayatupa kapuni
 
Hebu msitupotezee muda tuna mambo mengi ya kufanya kuliko upuuzi wa huyo chizi wenu lissu sasa anataka atangazwe amepita bila kupingwa au ?

Bila kupingwa kwani Spunda na Membe si wapo clean!

Hata hivyo si ajabu, mbona wabunge walitaka kuenguliwa kwa figisu?
 
KICHWA chako ni kizima mkuu? umeambiwa picha hiyo ina zaidi ya miezi mitatu sababu ipo kwenye mabango mitaani muda mrefu sheria ni kwamba picha inayopelekwa iwe latest miezi mitatu kabla ya kuwasilishwa form, na sikio moja halioneani imekaa upande mna shida gani nyie si usisikilize link hiyo hapo juu? au mmeshikiwa akili?
Sasa huoni kama nyie na Lisu ni wote hamna akili?

Sikio moja halionekani nayo hiyo ni pingamizi?

Alafu Lisu anaposema picha aliyoweka Magufuli ipo kwenye mabango na njia, kwani mtu huwezi kupiga picha umavaa shati flani leo baada hata ya mwaka ukapiga nyingine kama ile kwa shati lilelile?

Hoja za Lisu ni takataka.
 
Sasa huoni kama nyie na Lisu ni wote hamna akili?

Sikio moja halionekani nayo hiyo ni pingamizi?

Alafu Lisu anaposema picha aliyoweka Magufuli ipo kwenye mabango na njia, kwani mtu huwezi kupiga picha umavaa shati flani leo baada hata ya mwaka ukapiga nyingine kama ile kwa shati lilelile?

Hoja za Lisu ni takataka.
Jinga kweli wewe,picha yenye viwango vya hati ya kusafiria inakubalika hiyo na vipi hiyo picha kuwa na umri zaidi ya miezi mitatu? vipi mihuri ya watu wa NEc wa majimbo?jibu na hizo hoja.

Watu wamekatwa sababu herufi moja kasahau kuwka herufi kuwa wewe unashangaa sikio na mtu kuangalia upande?
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa Jamii Forums waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.

Ni delicious tu anayeweza kufikiri namna hii, so kwa vile kuna kila dalili za hila na hujuma kisa rushwa hivyo unashauri watu wakubaliane na uovu na wakae kimya!!
 
Ukiwasikiliza CHADEMA wa mitandaoni waweza kudhani Tundu Lissu atakuwa Raisi wa nchi hii. Bora hata CHADEMA wa mitaani wanakubali ukweli. Ukitaka kuamini hata 2015 pamoja na Lowassa kuongea dk 3 kwenye kampeni mliaminishwa na Mbowe na mkadeki barabara.

Ngoja niwape hints basi.

Kuna wapiga kura milioni 29 mliwahi kuwahesabu kujua Kama wapo kweli?, Kuna vituo zaidi ya 80000 vya kupigia kura nchi nzima mliwahi kuvihesabu kujua Kama vina exist vyote? Let say vipo kweli ili msiibiwe mnahitaji wasimamizi wenu CDM angalau wawili wawili kila kituo na mkisema muwalipe elfu 20 (20000)kila mmoja, kwa vituo vyote mnahitaji (20000x2x80000)zaidi ya bil. 3.2 je mnazo? Kama mnazo zinawatosha wasimamizi wenu wasirubuniwe na pesa zaidi na CCM?

Kwa tume hii nikiona mtu mzima tena mwanaume na p.umbu zake anaamini Lissu anaweza kuwa Raisi wa nchi hii namuona MPUMBAVU sana. Badala ya kukomalia vitu vya maana mnakomalia UPUMBAVU wa mara Amsterdam mara Lwaitama. CHADEMA wote na viongozi hamna akili.
Mbona hoja iliyopo ni tofauti na ulichojadili wewe. Au umekosea sehemu ya kuandika dukuduku lako
 
Lissu alikua anaongea kituo kwa kituo aisee kama angekuepo muda wote nchini na wasingebinywa wapinzani tungejua mengi sana...kwa mara ya kwanza jana nikasema moyoni mtoto wangu akitaka kusoma sheria nitamruhusu kwa asilimia 1000%
Nimesikiliza hotuba ya Lissu zaidi ya mara tatu anagonga kwenye vifungu vya NEC wenyewe lakini wamejibu kirahisi na maswali wakakataa, haijakaa sawa watoe maelezo yaliyoshiba ya kisheria ili Lissu aonekane hajui lolote sisi tusiojua sheria tuliona kama Lissu anatufundisha vile hadi unaelewa.
 
Nimesikiliza hotuba ya Lissu zaidi ya mara tatu anagonga kwenye vifungu vya NEC wenyewe lakini wamejibu kirahisi na maswali wakakataa, haijakaa sawa watoe maelezo yaliyoshiba ya kisheria ili Lissu aonekane hajui lolote sisi tusiojua sheria tuliona kama Lissu anatufundisha vile hadi unaelewa.
Yaan jamaa angekuwa ticha wa law huwezi kufeli somo lake. Lakini kuna mataga wanasema ule ni upuuzi

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom