IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,331
Tatizo Lisu kawapora akili zenu zote.Pale mtu anapotoa mapingamizi ya kisheria, na kunukuu vifungu vya sheria kusupport hoja zake kisha ww unamjibu kisiasa, kwa utashi wako, pasipo kuonesha vifungu vya kisheria vya kujibu hoja, hawa watu ni hooligans kabisa, total hopeless!
Lisu kasema Magufuli hakuweka picha. Nec wameangalia kwenye form za Magufuli wamekuta picha, hilo pingamizi bado lina maana ya kuwapotezea watu muda?