Kwa kuwa CCM wapo katika mfumo wa rushwa na minyukano ya kisiasa,EL anaweza pita na kukubalika kwa kuwa yeye ni sehemu ya mfumo,kama chaguzi ndani ya Chama zinatawaliwa na rushwa na mizengwe itakuwaje kwenye uchaguzi mkuu?CCM wanakataa na kupinga rushwa kwa vinywa vyao lakini si mioyoni mwao,kama RICHMOND inalipwa bilion 96 nani atakaepewa rushwa ili ampitishe EL akatae?NA WAKATI HUO WANAJUA WANAWEZA WASIIANGUSHE CHADEMA?.Mwenye macho haambiwi tazama.
Kwa kuwa CCM wapo katika mfumo wa rushwa na minyukano ya kisiasa,EL anaweza pita na kukubalika kwa kuwa yeye ni sehemu ya mfumo,kama chaguzi ndani ya Chama zinatawaliwa na rushwa na mizengwe itakuwaje kwenye uchaguzi mkuu?CCM wanakataa na kupinga rushwa kwa vinywa vyao lakini si mioyoni mwao,kama RICHMOND inalipwa bilion 96 nani atakaepewa rushwa ili ampitishe EL akatae?NA WAKATI HUO WANAJUA WANAWEZA WASIIANGUSHE CHADEMA?.Mwenye macho haambiwi tazama.
Mkuu kuna kitu umesahau..maandiko yanasema siku ambayo samson alikufa aliua wafilisti wengi kuliko idadi nzima ya wafilisti aliowaua enzi za uhai wake kabla hawajamkamata.
so expect Lowasa to die with a large number of his enermies than the ones he has killed before.
Kwa aliyejitokesha kamshutumu kuwa katumia mtandao ambao kauita haramu, so kathibitisha kuwa ana nguvu ila kaharamisha jinsi alivyopata nguvu.Hadi sasa hakuna comments kutoka kwa wana CCM kuonyesha kama huyo jamaa ana nguvu ndani ya Chama. Si ushahidi kwamba hakuna takwimu wala ukweli wa hoja hii zaidi ya propaganda ili ionekane jamaa anakubalika?
Wakuu Nicholas, Kwitega na wengine Hayati Mwalimu Nyerere alikwishasema mwaka 1995 kwamba mheshimiwa EL "is not good material for presidency".
Hii ni sentensi moja fupi na inayojitosheleza na ni sentensi yenye kutoa maelezo mengi sana juu ya mheshimwa EL.
Kwahio anaepoteza muda kutueleza uzuri wa mheshimiwa EL na credibility yake kuweza kugombea mwaka 2015 nae ni FISADI.
Mkuu Nicholas, jana nimemuuliza maswali mkuu Pasco na hakuwa na majibu na leo mkuu Kwitega nae amekuja na swali kwamba je EL ndani ya CCM ana wafuasi wangapi.
Kama anao basi wote ni masalio ya mtandao wa mwaka 2005 na riba ya wote wa mwaka 2010 na ambao pia wote ni MAFISADI- period.
Nchi yetu inahitaji mabadiliko na ili mabadiliko hayo yatokee, ni lazima CCM ishindwe uchaguzi wa 2015.
Richmond inalipwa bilioni 96 pesa za wananchi!Halafu eti huyo aliyefanikisha huo uchafu anatakiwa kuwa rais?Hata kama kuna wanaoamini kuwa akigombea basi chadema watashinda,bado sioni mantiki,kwasababu vipi kama wakichakachua?Kwa kuwa CCM wapo katika mfumo wa rushwa na minyukano ya kisiasa,EL anaweza pita na kukubalika kwa kuwa yeye ni sehemu ya mfumo,kama chaguzi ndani ya Chama zinatawaliwa na rushwa na mizengwe itakuwaje kwenye uchaguzi mkuu?CCM wanakataa na kupinga rushwa kwa vinywa vyao lakini si mioyoni mwao,kama RICHMOND inalipwa bilion 96 nani atakaepewa rushwa ili ampitishe EL akatae?NA WAKATI HUO WANAJUA WANAWEZA WASIIANGUSHE CHADEMA?.Mwenye macho haambiwi tazama.
Mkuu,fuatilia tu ile thread ya kuhusu professa Muhongo aliyoyasema kuhusu Tanesco na mikataba kwa ujumla!Wakuu Nicholas, Kwitega na wengine Hayati Mwalimu Nyerere alikwishasema mwaka 1995 kwamba mheshimiwa EL "is not good material for presidency".
Hii ni sentensi moja fupi na inayojitosheleza na ni sentensi yenye kutoa maelezo mengi sana juu ya mheshimwa EL.
Kwahio anaepoteza muda kutueleza uzuri wa mheshimiwa EL na credibility yake kuweza kugombea mwaka 2015 nae ni FISADI.
Mkuu Nicholas, jana nimemuuliza maswali mkuu Pasco na hakuwa na majibu na leo mkuu Kwitega nae amekuja na swali kwamba je EL ndani ya CCM ana wafuasi wangapi.
Kama anao basi wote ni masalio ya mtandao wa mwaka 2005 na riba ya wote wa mwaka 2010 na ambao pia wote ni MAFISADI- period.
Nchi yetu inahitaji mabadiliko na ili mabadiliko hayo yatokee, ni lazima CCM ishindwe uchaguzi wa 2015.
Mkuu,fuatilia tu ile thread ya kuhusu professa Muhongo aliyoyasema kuhusu Tanesco na mikataba kwa ujumla!
Utapatwa na hasira vibaya mno!Hawa watu wanastahili kuwa kizimbani kujibu mashtaka!Halafu kuna watu wana balls za hata kumtamka humu ndani?
Eti kisa alijitoa kafara,kafara kwa nani na Taifa linalipa kwasababu yao na pesa walizopata ndo wanatumia kujijenga binafsi ili kupata madaraka zaidi?Kama ni kafara halafu anataka urais,basi kafara itakuwa ni watanzania!
Na Zitto naye?Yani kwakweli inasikitisha sana!