Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,493
- 12,461
Maana siku hizi imekua fashion na competition kungonoka si kwa viongozi wa dini watoto hata wakubwa wana ndoa na wasio na ndoa if uzinzi ni dhambi for real hakuna atakae pona.....TAFAKARI....
fafanua...mimi ntapona
fafanua...
mimi ntapona
hata mimi kwa kweli nitapona
kumbe tupo wengi
wachache wanaozini wanadhani wote ni wazinifu
Mimi sina Dhambi ya Kuzini na sijawahi kuzini, Labda tukijadili Dhambi ya kuziniwa!