Guys,
Sallaam! Kuna gari inataka kuwa shipped kutoka Italy to Dar es salaam. Utaratibu wa TBS ni kwamba, kabla gari haijanusa Bongo, inatakiwa kukaguliwa huko huko inakotoka unless kama upo tayari kutandikwa penalt.
So, kama kuna mtu yeyote wa TBS humu ndani, naomba kufahamu kuhusu Endorsed/Approved Vehicle Inspectors in Italy. Nimeshawa-email lakini bado sijapata feeback!
Aidha, kama kuna yeyote humu jamvini mwenye namba ya simu ya mkononi ya mtu wa TBS, basi naomba msaada wa hiyo namba niongee na muhusika kuwaambia wacheki email yangu! Kwa bahati mbaya, website ya TBS imeorodhesha namba za mezani tu ambazo, sio tu ni bit expensive lakini vile vile hazi-connect!
Natanguliza shukrani zangu!
UPDATE:
Nimeshamalizana Nao!
Kwa faida ya Wengine:-
Unapoagiza gari toka kokote duniani ambako hakuna Wakala wa TBS wa ukaguzi, then unaruhusiwa kuingiza gari yako nchini kabla ya kukaguliwa lakini ikishafika TZ, kabla ya yote inatakiwa kukaguliwa na NIT.
Sallaam! Kuna gari inataka kuwa shipped kutoka Italy to Dar es salaam. Utaratibu wa TBS ni kwamba, kabla gari haijanusa Bongo, inatakiwa kukaguliwa huko huko inakotoka unless kama upo tayari kutandikwa penalt.
So, kama kuna mtu yeyote wa TBS humu ndani, naomba kufahamu kuhusu Endorsed/Approved Vehicle Inspectors in Italy. Nimeshawa-email lakini bado sijapata feeback!
Aidha, kama kuna yeyote humu jamvini mwenye namba ya simu ya mkononi ya mtu wa TBS, basi naomba msaada wa hiyo namba niongee na muhusika kuwaambia wacheki email yangu! Kwa bahati mbaya, website ya TBS imeorodhesha namba za mezani tu ambazo, sio tu ni bit expensive lakini vile vile hazi-connect!
Natanguliza shukrani zangu!
UPDATE:
Nimeshamalizana Nao!
Kwa faida ya Wengine:-
Unapoagiza gari toka kokote duniani ambako hakuna Wakala wa TBS wa ukaguzi, then unaruhusiwa kuingiza gari yako nchini kabla ya kukaguliwa lakini ikishafika TZ, kabla ya yote inatakiwa kukaguliwa na NIT.