JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
Naam, wanajamvi siku tatu za maombi zimeisha Jana. Kama maombi ya waombaji yameswihi hilo litajidhihirisha siku si nyingine kuanzia leo.
Ila kwa maoni yangu hayajaswihi au hajapokelewa. Kwanini nasema hivi? Ni ubatili wa maombi yenyewe. Waombaji wengi walimtukuza binadamu badala ya Mungu. Rejea maombi ya RPZ mmoja wa A Town.
Aisha, maombi huhitaji utulivu bwana, mnapata wapi ujasiri wa kuomba huku mnamlikwa na mikamera lukuki?
Kabla ya maombi Mungu anataka tufanye toba ya kweli. Tunajua kuigiza Watanzania sisi! Binafsi nilitamani kabla ya maombi tungewaachia huru Mashehe wa uamsho wote bila masharti, Tumwachie Singasinga na Rugemalila, Tuwaachie wafungwa wote wa kisiasa, Tumwombe radhi Tundu Lissu n.k Ndio twende mbele za Mungu kumuomba huruma yake aiangamize Covid-19.
Kwa niliyo yaona ni kama wengine walikuwa wanamfokea Mungu badala ya kumtukuza. Tumeicha dini kwenye mikono batili isiyo na maarifa.
Hakika tunahitaji maarifa.
Ila kwa maoni yangu hayajaswihi au hajapokelewa. Kwanini nasema hivi? Ni ubatili wa maombi yenyewe. Waombaji wengi walimtukuza binadamu badala ya Mungu. Rejea maombi ya RPZ mmoja wa A Town.
Aisha, maombi huhitaji utulivu bwana, mnapata wapi ujasiri wa kuomba huku mnamlikwa na mikamera lukuki?
Kabla ya maombi Mungu anataka tufanye toba ya kweli. Tunajua kuigiza Watanzania sisi! Binafsi nilitamani kabla ya maombi tungewaachia huru Mashehe wa uamsho wote bila masharti, Tumwachie Singasinga na Rugemalila, Tuwaachie wafungwa wote wa kisiasa, Tumwombe radhi Tundu Lissu n.k Ndio twende mbele za Mungu kumuomba huruma yake aiangamize Covid-19.
Kwa niliyo yaona ni kama wengine walikuwa wanamfokea Mungu badala ya kumtukuza. Tumeicha dini kwenye mikono batili isiyo na maarifa.
Hakika tunahitaji maarifa.