Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
- ati ukichukua maeneo na viwanja vyoooote vinavyomilikiwa na chama cha kijani kwa nchi nzima na kuyaweka pamoja, unaweza pata eneo la kuweza anzisha wilaya mpya!!
- halafu ukichukua majengo, magari na asset za ndani zote wanazomiliki unaweza anzisha ka mji kapya tena kazurii tuuuuu, na hata kuiform halmashauri ya mji kabisa!!
- ukichukua vyanzo vyao vya mapato, redio, magazeti, parking na majengo wanayokodisha kwa nchi nzima..... inaweza kukaribia bajeti ya halmashauri!!!