Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,142
- 162,536
Huu ndio mtazamo wangu hasa baada ya kusoma taarifa iliyotolewa na wajeda. Binafsi naona taarifa yao imethibitisha jambo fulani ila kwa kutumia akili za kiutuuzima.
Kwa sasa, Inawezekana kabisa ameshashauriwa akae pembeni, tatizo ni jinsi gani wataueleza umma.
Nahisi kuna vikao vya mashauriano vinaendelea.
Na pia muda wa kutoa tamko tangu yule mjeda aongee, umeniongezea maswali zaidi.
Kwa sasa, Inawezekana kabisa ameshashauriwa akae pembeni, tatizo ni jinsi gani wataueleza umma.
Nahisi kuna vikao vya mashauriano vinaendelea.
Na pia muda wa kutoa tamko tangu yule mjeda aongee, umeniongezea maswali zaidi.