FORCE NAMBA
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 937
- 327
Ukiweza kuandika ikisiri vizuri basis we we ni mtafiti
Fanya utafiti kwanza ndipo uje na madafu hayaKazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
hivyo vigezo kaweka nani hadi neno lake liwe sheria,naona aibu kuwa na mtanzania mwenzangu mzigo kiasi hiki kama wewe,pole sana kwako na familia yako,kwaio hata ukichapiwa mkeo utasubiri tafiti hadi zifanywe na mtu wa masters,PhD ndio utaamini?Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
I love this comment "vilaza walipata academic papers"Asilimia kubwa ya watu wanaotumia kigezo cha elimu(in the form of Form 4,6,BA,BEng or BSc Masters na PhD)kama silaha yao in reality ni v-laza waliopata academic qualifications kwa bahati mbaya.Kibaya zaidi other than papers called certificates THEY HAVE NOTHING!
mkuu umetokea mzumbe?Mkuu samahani kipe heshima Chuo kikuu Mzumbe.
Kwanza hakuna usikarili kuna usikariri.
Nikikwambia utoe madhaifu ya MU utatokwa udenda. Heshima tafadhali .Heshima narudia tena.
Hiki ni "kiazi mbatata" cha karne. Na nina mashaka hata kama anajua maana ya tafiti na misingi yake.Au kabla hawajaandika hapa hizo tafiti wazilete kwako uzipitie
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Usikute nae kapata masters uchwara yake hivi karibuni anakuja kuturingishiaThread ya hovyo kuwahi kuwekwa humu.
Mtoa mada kaandika tu kujifurahisha, na kama kweli alichokiandika anakimaanisha na ni 'msomi' basi ni hatari!
Usikute nae kapata masters uchwara yake hivi karibuni anakuja kuturingishiaThread ya hovyo kuwahi kuwekwa humu.
Mleta mada ana "parmanent head damage" a.k.a. Phd!