Kama kiwango chako cha elimu hakijafikia masters, tusikuone ukileta utafiti wako uchwara humu!

Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Naona kama umevurugwa aiseeee...
Na unahitaji kusamehewa bure..
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Mkuu Hicho chombo unachotumia aliyekigundua na kukitengeneza hana hivyo vigezo na kaajili waliosoma kwa kuwaelekeza
 
Unasomea au umepata ki Masters juzi basi unaona watu wote wakae kimya wakusikilize wewe mwenye Masters mbichi....
Pole wee.......
Mafanikio hayahitaji Masters/
Na hata mifano huna....
Utoto tu unaleta hapa,
Hili jukwaa lina walimu wako mtoa hoja... Shame on you!
 
Hivi elimu ya tz c juzi kati hapa tafiti zilionyesha %60 ni vilaza ? Akiwepo mtoa mada
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Baada ya PhD inafuata .........
 
bilget alifanya utafiti kabla hajamaliza hata degree na akaamua kuanzisha microsoft na sahizi ni kampuni yenye revenue kubwa duniani na inasaidia watu karibu dunia nzima.je utafiti wa bilget ambao aliufanya akiwa hajamaliza hata degree 1 na wako wa masters upi nu utafiti mzuri
Bill Gate hajawahi kanyaga chuo kikuu. Aliishia High School abayo ni compulsory kama sisi hapa la saba lakini alikuwa na vision. Yule wa Virgin companies ameishia form four hakwenda UNi lakini ni watu ambao wamechange ulimwengu huu. Wasomi wengi wa TZ ni copy and paste hasa wa sasa naweza sema wale wa enzi za 60s na 70s yes walikuwa wasomi sababu walitokana na mchujo wa 1 kati ya 45 kwenda Secondari na 5-11high school kulingana na shule aliyosoma. Twambie sasa wangapi wanaweza kujieleza verbally kwenye kadamnasi kutetea paper zao kwa kimombo hata wangesema kikwao??? Tusidanganyane. Heri mhitimu wa VETA atapresent na kuonyesha kazi yake kuliko hao mtoa mada anaowasema. Tumeazaa, tumefanya nao kazi, tunaishi nao na tunajua kuwa hata STD 8 wa 60s ana uelewa kuliko hao uhaowaita wasomi. Ciao.
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Sina hakika kama una hata elimu ya primary school weee maana kwa mtu ambaye ni msomi na amesoma philosophy na ika mkaa kichwa vyema hawezi kuleta mada ya aina hii kwa kweli wasomi wa tanzania ni watunza vyeti na si vinginevyo

Kwa kukusaidia nenda kwenye kamusi au google na uitafute tafsiri sisisi ya neno ''TAFITI'' na principles zake halafu utakuja kutuambia kama hicho kigezo chako kipo. Ili tuweze kujua nani anajikweza.
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Mkuu hongera kwa elimu ya kiwango cha Masters.
Ila una kiwango cha masters cha fani gani?toka chuo gani?na ni muda gani umepita toka uwe na hicho kiwango cha masters?na umeshafanya tafiti ngapi so far na zimekuwa na msaada gani kwa taifa?
Kwani mimi wa STD seven si naweza kuja na kautafiti dhaifu lakini kenye manufaa kwa jamii nawe mwenye kiwango cha masters ukaendelea kukaimarisha na kuja na matokeo imara na yenye faida kwa jamii?
jF imekuwepo kwa karibu miaka kumi au zaidi na kumekuwepo na maprofesa(ingawa inawezekana nawe ni Prof) lakini hatujasikia mkwala huu....tumekuudhi nini mzee wa kiwango cha mastaz?
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...

Hahahahahaha, kaka umepotea sana kwa mawazo hayo, kuna jamaa wanasoma Master ya Project Planning and Management chuo sikitaji wanakuja nawapigia kazi za kuandika proposal, nimeshakula mkwanja mwingi tuuu. Huwaoni wenye Phd hawajui English sasa jiulize hizo research na presentation wanazifanya kwa lugha gani???
 
Rudi darasani ukajifunze upya nini maana ya utafiti na safari hii usiwaze kupata alama kubwa kazana kuelewa. Baada ya hapo rudi uwaombe radhi wote ambao kodi zao zimetumika ili wewe upate 'elimu' maana u mtupu mno kichwani
 
kwanza wewe unaelimu gani?? mwandiko wako tu unaonesha ulikimbia umande, msomi hawezi kuandika kama anaota anajikojolea kitandani, kaandike upya uweleweke.
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Hata wewe kuwa na cheti sidhani kama umeelimika kwakuwa kikwetu kwetu elimu ni cheti haya endelea kubwabwaja.
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.
Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! C ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
wewe weka vyeti vyako vya masters tuone,unafiki tu,reseach mtu yeyeto akifata procedure zinazotakiwa anafanya
 
Back
Top Bottom