Kama kiwango chako cha elimu hakijafikia masters, tusikuone ukileta utafiti wako uchwara humu!

Hajasabisha taharuki. Hili jamaa huwa lipumbavu pumbavu tu siku zote. Miaka kadhaa lilikuwa linhangaikia admission ya kidiploma fulani uchwara. Leo linalazimisha eti litambuliwe kama researcher. Na kwa upumbavu wake, linasema eti ili lifahamu watu wana Masters Degree, walete hapa methodology, peer review waweke, sampling eti waliwekee hapa lijue kweli wamesoma . Hili kama siyo jiendawazimu ni kitu gani? Kuna tofauti gani na mzee wa "JIOGRAFIA NILIFIKA".?

eti uliwekee hapa sampling, peer review na methodology. Pumbavu kweli halina hata haya. Na ndiyo sababu lilikosa elimu sasa linabakia kuonyesha utupu wake hadharani.
:D:D:D
 
Wewe umewafanyia utafiti upi kujua kwamba wenye elimu hiyo wanaweza kufanya utafiti ambao ukifanyiwa utafiti itaonesha utafiti wao ukitafitiwa unatafitika kiutafiti wa watafiti wa utafiti?
 
Mtu form four ana division 4 akarudia, form six akarudia, chuo akapata sup na carry huyu akaambilia 2.5 akaungaunga post Dp, akapata MSC, MA kwa mbinde baadaye PhD. Mmh huyu naye baadaye anaanza kuwa msumbufu kwa kulingia elimu? Tusiwe na mentality ya Elimu za juu sana tuwekeze kwenye Polytechnic colleges hapa ndy tutajiamini, tunasomesha watu PhD wakati hizo gharama zingesaidia vijana kwenye vyuo vya ufundi zaidi ya 100 halafu candidate anamaliza badala ya kufanya kazi anaenda kugombea udiwani ama ubunge, eheheheh! Na kwa nchi yetu mtu akipata PhD ujue anakaribia 40-50 kaanza kuchoka na ka uvivu ka ufanisi kanashuka why?
 
Wewe huna hoja zaidi ya ujinga!. Hoja gani unayo ya kujidhalilisha eti watu waweke hapa methodology, analysis, empirical review... hivi kama si wendawazimu unakusumbua ni kitu gani?

Hoja ni kwamba mapumbavu kama wewe msilete tafiti zenu za kijinga hapa. Pelekeni nkwa majuha wenzenu!. PERIOD!

Ulimaliza kadiploma uchwara kako au ulifeli? Halafu eti uantaka kulazimisha utambuliwe kama researcher!. Pumbavu kweli kweli!
Nimekuuliza, umesema unanijua mpaka kwetu. Kwetu wapi?

Hujajibu.

Kama ungekuwa unakujua kweli kwetu ungekutaja. Hukujui.

Halafu mtu unajikita katika kusimamia research utapuuzaje hayo mambo niliyoyataja ya methodology, margin of error, peer review, publication, h-index, control etc?

Wewe unayejinadi unajua research utapuuza vipi mambo haya makubwa kabisa ya research?

Wewe unafahamu research kweli au unabwabwaja tu?
 
Mtu form four ana division 4 akarudia, form six akarudia, chuo akapata sup na carry huyu akaambilia 2.5 akaungaunga post Dp, akapata MSC, MA kwa mbinde baadaye PhD. Mmh huyu naye baadaye anaanza kuwa msumbufu kwa kulingia elimu? Tusiwe na mentality ya Elimu za juu sana tuwekeze kwenye Polytechnic colleges hapa ndy tutajiamini, tunasomesha watu PhD wakati hizo gharama zingesaidia vijana kwenye vyuo vya ufundi zaidi ya 100 halafu candidate anamaliza badala ya kufanya kazi anaenda kugombea udiwani ama ubunge, eheheheh! Na kwa nchi yetu mtu akipata PhD ujue anakaribia 40-50 kaanza kuchoka na ka uvivu ka ufanisi kanashuka why?
Aung San Suu Kyi wa Myanmar alitoa speech moja kali sana kuhusu elimu akasema maneno kama yako.

Soma hapa wameripoti

Suu Kyi lauds vocational education | Eleven Myanmar

Alisema Burma haihitaji watu wengi wenye fancy education, inahitaji watu wengi wenye practical education kutoka vocational training institutes.

Hata Nyerere naye alilisema hili kitambo.

Hao watu ambao hawana elimu wala upeo wakiungaunga na kupata hivyo vikaratasi vya kuungaunga wanasumbua sana. Wakati watu walioelimika wenyewe huwezi kusikia wanajisifia kwa paper qualification.

Waswahili walisema "Masikini akipata, matako hulia mbwata".

Sasa mleta mada hii ni limbukeni ambaye inaonekana katika maisha yake kupata hivi vi paper qualification ndiyo greatest achievement kuliko zote na hakutegemea.
 
wewe ni mkolofi, tena mkolofi mwenye chuki binafsi zid ya jamaa KILANGA. Kuheshimu michango ya mtu kwa namna yeyote ile (iwe michango\mawazo mabovu au mazuri)
ni mojawapo ya ukomavu wa kiakili regardless unamjua au humjui. Habar za kwamba "tena wewe nakujua.......napajua hadi kwenu" huu ni upumbafu na ulofa.
Wewe huna hoja zaidi ya ujinga!. Hoja gani unayo ya kujidhalilisha eti watu waweke hapa methodology, analysis, empirical review... hivi kama si wendawazimu unakusumbua ni kitu gani?

Hoja ni kwamba mapumbavu kama wewe msilete tafiti zenu za kijinga hapa. Pelekeni nkwa majuha wenzenu!. PERIOD!

Ulimaliza kadiploma uchwara kako au ulifeli? Halafu eti uantaka kulazimisha utambuliwe kama researcher!. Pumbavu kweli kweli!
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.

Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! Si ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Mkuu unakiuka Vigezo na Masharti ya JF.
Kinachotakiwa ni uwasilishaji /uchangiaji hoja/mada ili kuabalisha, kuelimisha, kuburudisha na kusaidiana ili mradi tu tusivunje sheria za nchi.
Unapowazuia watu kuwasilisha mada zao eti sababu tu elimu yao si ile ya kiwango cha utafiti ni kujenga dhana ya ubaguzi wa maoni na uhuru wa members.
Kufanya utafiti ni ghali sana hayumkini sidhani kama kutakuwa na fund kwa ajili ya kuwawezesha watoa mada kufanya utafiti kwanza ili wawasilishe walichobaini huko.
Wakati mwingine kusoma sana kwa baadhi ya watu ni uoga wa maisha na kukimbia kutumikia wengine.
Kusoma ni kipaji na karama ila kwa wengine ni kama sifa na pale wanaposoma ujiona ni welevu sana kuliko wengine.
Msomi kuwa na kiasi, sote hapa Jukwaani waliosoma na wasiosoma ni Jamii moja tueshimiane.
Kama ni usomi wako peleka kazini kwako uongeza Ufanisi na tija.
 
Mimi binafsi I don't trust on papers,I often trust on person's IQ,Wapo watu kibao ni darasa la saba lakini vichwa vyao vimejaa madini mengi sana kuwazidi hata PHD holders.

Sasa mbona unanisema Kijanja Mkuu? Si nilikuambia iwe tu siri yako? Umeniudhi kweli!
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.

Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! Si ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Yako ya open university pimbi sana wewe bora ungekuwa lordlofa
 
Kazi ya utafiti ni kazi iliyokuwa reserved kwa watu wenye elimu ya kuanzia masters, PhD na kuendelea.

Cha ajabu Kibongo bongo unakuta mtu wa darasa la saba eti naye anakuja na utafiti wake humu! Si ni kichekesho..? Kama ulikimbia umande funga 'bakuli' lako.... Au andika kuhusu mambo mengine...
Ninaposhangaa mala nyingi hawa wa darasa la saba ndo wanaopasua kwenye maisha,siku hz hakuna cha elimu swala ni elimu ya kutafuta pesa kwisha.darasa la 7 wanabeba jembe PHD wanabeba computer mpakato.nacheeeeekaa kama nini
 
I doubt ata unajua tafiti inavyofanywa let alone discriminating between a bias, personal judgement and an honest opinion given the sampling to actual environment.

We subiri tafiti uchwara za twaweza, hayo mambo ya tafiti watu wanaojua processes sio lazima uwe na masters provided umetumia accepted methodologies.
 
Back
Top Bottom