Kama huwezi kuchat basi tuachane

Kama huwezi kuchat basi tuachane

Wadau poleni na mahangaiko ya siku,nakwenda kwenye mada husika nipo kwenye uhusiano na binti fulani umri ni miaka 22.

Mpenzi wangu huyu anapenda sana kuchat mimi muda wa kuchat huwa nakosa na anajua shughuli zangu kuwa nakosa muda wa full time kuchat.
Hali hii anadai inamnyima Uhuru wa kufurahia uhusiano wetu.

Amenambia kuwa bora tuachane sababu siwezi kuchat full time.

Bila hiyana imebid nikubali tu sababu yeye kupendwa kwake ni kuchat.
Nawasilisha wapendwa
Mpeleke chit-chat ...madhara ya SMS blia kikomp
 
MPE ratiba zako azielewe vizuri na umpe hata nusu SAA ya kuchat inamtosha kwa siku
 
iyo ndio tabu ya kuwa na watoto wa dogo mm nakuwa sijivungi sana hupenda awe na age kuanzia 30
 
Back
Top Bottom