fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,676
- 23,984
Hili ni jema ShadyaHahahaaa. Mie mpaka niwe na sababu nje ya hapo ni full vicheko na furaha tele.
Hili ni jema ShadyaHahahaaa. Mie mpaka niwe na sababu nje ya hapo ni full vicheko na furaha tele.
Inasemekana wanawake huwa Wana "uchizi"...ikitokea ukiwakamata lazima mgombane.....
Itokee unafanya kazi ofisi imejaa wanawake lazima utagundua kuna siku wananuna bila sababu....au mnapigizana kelele bila sababu





Nashukuru nimeuona, nimekumiss zaidi binamuBinamu, Happy New Year. Nimekumiss![]()
Niko na miaka kumi ya ndoa my dear.Usioe!! Nakuasa Usioe!!
Kama umeshaoa sawa, ila kama bado usioe mdogo wangu.
Naoa ila sitoi ushirikiano kwenye mambo ya kisengeremaUjumbe wangu ni mfupi tu, kama wewe mambo ya kelele ni turnoff kubwa sana kwako, KATAA NDOA!!!
Wanawake sisi ni wapiga kelele, tuna-nag, tuna story zisizo na kichwa wala miguu, tunalalamika sana, tunapush idea zetu kila kukicha. Hutaki Acha.
Kila mwanaume kelele kelele, oh nachepuka kuepuka kelele, ooh nimemuacha kisa kelele, ooh nalewa hadi saa 9 kuepuka kelele. Kelele ni kama Pi, yaani constant kama hutaki wewe piga usepe, nunua uchape lodge urudi kwako.
Ndimi mke asiye na kelele![]()
Yes binafs n hvyo.... Geto langu la kidau....Mimi nimesha plan nyumba yangu lazima iwe na chumba changu binafsi kisicho husiana na yoyote ili kukwepa kelele
Tangazo la biashara hili.Ujumbe wangu ni mfupi tu, kama wewe mambo ya kelele ni turnoff kubwa sana kwako, KATAA NDOA!!!
Wanawake sisi ni wapiga kelele, tuna-nag, tuna story zisizo na kichwa wala miguu, tunalalamika sana, tunapush idea zetu kila kukicha. Hutaki Acha.
Kila mwanaume kelele kelele, oh nachepuka kuepuka kelele, ooh nimemuacha kisa kelele, ooh nalewa hadi saa 9 kuepuka kelele. Kelele ni kama Pi, yaani constant kama hutaki wewe piga usepe, nunua uchape lodge urudi kwako.
Ndimi mke asiye na kelele![]()
I agree. Sijabisha kuwa wanawake wanakuwa na mabadiliko kipindi hicho. Ila nimesema kuwa baadhi wanaongeza na ''madoido'' mengine. Yaani wana -exagarate reactions na kudeka kupita kiasi.Mkuu,
This is scientifically proven. Sasa tunatumia kama kisingizio vipi na ni kitu kinatutokea kila mwezi?
Sema TU nyege utaeleweka mwaya🖐️😀Ni hormones tu particularly Estrogen. Estrogen levels zikiwa low you may feel sad, anxious or frustrated hata bila sababu.
Interesting...Inasemekana wanawake huwa Wana "uchizi"...ikitokea ukiwakamata lazima mgombane.....
Itokee unafanya kazi ofisi imejaa wanawake lazima utagundua kuna siku wananuna bila sababu....au mnapigizana kelele bila sababu
Hahaha kelele zako hua nazituliza with deep kissing...
Ujumbe wangu ni mfupi tu, kama wewe mambo ya kelele ni turnoff kubwa sana kwako, KATAA NDOA!!!
Wanawake sisi ni wapiga kelele, tuna-nag, tuna story zisizo na kichwa wala miguu, tunalalamika sana, tunapush idea zetu kila kukicha. Hutaki Acha.
Kila mwanaume kelele kelele, oh nachepuka kuepuka kelele, ooh nimemuacha kisa kelele, ooh nalewa hadi saa 9 kuepuka kelele. Kelele ni kama Pi, yaani constant kama hutaki wewe piga usepe, nunua uchape lodge urudi kwako.
Ndimi mke asiye na kelele![]()