Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,855
- 27,023
Kukasirika bila sababu kivipi wakati unasema sababu ni period?Siku zao za Period wanakuwaga na kununa nuna na kukasirika bila sababu
Kukasirika bila sababu kivipi wakati unasema sababu ni period?Siku zao za Period wanakuwaga na kununa nuna na kukasirika bila sababu
Umewahi kukaa na malaya mwaka?Mbona michepuko na makahaba hawana kelele jifunzeni kwao ndoa zidumu
Hilo haliwezi tokea, mdomo awe nao ila asivuke mipaka.Hahaha…ukioa usiende baa ukaanza kusema mkeo ana mdomo, mvumilie maana unajua kabisaa kelele ndo uanamke wenyewe
Angalau hata ya uongo siku zisongeMichepuko na makahaba wana mapenzi na nyie?
Mbona simple tuu,unaweka earphone kwenye maskio au unalala hujibu chochote kesho hatorudia maana si utakuwa umemdharau au hajui unawaza nini?
Yani unawaza kama mm
Nawaza watu wanawezaje kukaa na mke in one bedroom. Akianza kelele zake hakuna hata kwa kujifichia yaani akigeuka huku akikuona umetulia anaanza kelele.
Ukiwa na nyumba kama ya mwijaku anapiga kelele upstairs wewe unakaa downstairs unafuta vioo..
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Binafsi napenda mtu wa kunichoka maana tutaacha kufuatiliana fuatiliana kisengeremaMimi kupiga kwangu kelele ndio mapenzi yenyewe kwake, mwanaume nikimchoka wala sihangaiki nae, mpoleeee sina kelele.
wanafanya kusudi hawaKuna siku niliwah fika yakaanza makelele,nilibeba koti langu nikageuza
Siku nyingine hakukuwa na kelele