Kama hujaridhika na nyongeza ya mshahara, Acha kazi uende wanapolipa vizuri!

muafi

JF-Expert Member
Oct 6, 2015
2,115
4,802
Ifike hatua tuache kubembelezana, Serikali ilisema kabisa imeongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23%, hamkuelewa nini?

Hawa watu wa kima cha chini wa TGS A walikuwa wanapata hadi 280, 000/= Hawa ndio wamepewa 23%

Sasa wewe una mshahara wa milioni na wewe unataka 23% unaumwa eti?

Acheni dharau basi, kama huridhiki acha kazi uende wanapolipa vizuri kwani umelazimishwa?

Ifike hatua Serikali iache kubembeleza watu

Hujaridhika sepa
 
Ifike hatua tuache kubembelezana,
serikali ilisema kbs imeongeza mshahara ikiwemo kima cha chini kwa 23%, hamkuelewa nini?

hawa watu wa kima cha chini wa TGS A walikua wanapata hadi 280, 000/=
hawa ndio wamepewa 23%
sasa wewe una mshahara wa milioni na wewe unataka 23%

acheni dharau basi, kama huridhiki acha kazi uende wanapolipa vizuri kwani umelazimishwa?

ifike hatua serikali iache kubembeleza watu

hujaridhika sepa
Word....
 
acheni dharau basi, kama huridhiki acha kazi uende wanapolipa vizuri kwani umelazimishwa?

ifike hatua serikali iache kubembeleza watu

hujaridhika sepa
Hizi kauli nenda pale Lugalo au Airwing kawaambie nafikiri watakuelewa sana. Dharau ni pale unapoona watumishi fulani hawataweza nifanya chochote kuathiri madaraka yangu, na watumishi wengine lazima waonje asali ili niwe nalala bila wasiwasi.
 
Shida sio nyongeza, shida ni Hangaya kudanga ya uma eti asilimia 23.3% kumbe fix, Sasa na sisi 2025 tutamdanganya tunakupigia Kura Halaf hatutampigia ajue maumivu ya kudanganywa
 
Muhimu ni kuridhika na mshahara ndugu unasema laki 3 na 40 haitoshi.. wakati watu wanalipwa Mil 2 na bado hawaridhiki, ishi maisha ya kiwango chako kama wewe unalipwa laki 4 ishi maisha ya kuendana na laki 4 usitake kuforce eti ufanane na wa laki 9

UTAUMBUKA
64400

Ukiongeza kwenye kima cha chini unapata kama laki 3 n 40 kwa maisha ya sasa haitoshi

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
64400

Ukiongeza kwenye kima cha chini unapata kama laki 3 n 40 kwa maisha ya sasa haitoshi

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom