Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
naona kama jamii itanichukulia vibaya, maana siyo kawaida hii
nipo jf tangu 2013 bt situmiag jina hili
Yaani hajui kazi za hg na mke! Kama haoni tofauti aoe tu huyo hg.Sijui kala maharagwe ya wapi Huyu mtu
Ivi watoto wa siku izi ubongo wenu una akili kiasi gn!? Hata ilo unauliza kweli!?
Ndo akili hizi hizi huja kutangaza nia.
Habari wana Jf,
Kwa mujibu wa kazi yangu inanibidi nitafute mke au housegirl maana nimechoka kufanya kazi ndogondogo za nyumbani. Hii ni kutokana na kazi niliyonayo ya kitaifa, je kwa mtazamo wa kawaida, naruhusiwa kuwa na housegirl nyumbani kwangu ikiwa nipo single sina mke?
Hili ndiyo tatizo la kuwa na vyuo vikuu vingi, ukiuliza Elimu ya mleta mada, atakuambia yupo mwaka wa mwisho chuo kikuu fulani.
Huyo huyo ndiye atakuwa mkeo.
Inawezekana kabisa Mkuu.......cha muhimu tafuta housegirl mwenye makalio makubwa!
Sijajua muuliza swali anategemea jibu gani hasa!
Mfano Hai.
Kuna jamaa yupo sinza ana mke ambaye hajafunga naye ndoa na wana mtoto cha kuchekesha mke anaishi mtaa mwingine na jamaa anishi mtaa wa pili, mke yupo na mtoto pamoja na binti wa kazi LAKINI jamaa pia yupo anaishi na binti wa kazi za ndani na maisha yanaendelea.
Sijawahi kuona, kusikia fujo au matata kuhusu binti aliye kwa jamaa. Tatizo linaweza kuja kwako siku ya kupata njaa.
Inawezekana kuwa na HOUSE MAID hata kama hujaoa. Lakini atakuwa ni wa kutwa yaani anakuja asubuhi akishamaliza kazi zake anaondoka. Ufunguo mtakubaliana sehemu ya kuukuta anafanya usafi, kupika kwa kufuta menu iliyompa akimaliza anaondoka.
Hii kwa Nairobi ni kawaida kabisa na ni hao maid in wamana watu wazima ambao huna budi kumpa heshima kama shangazi yako