Kama hauna roho mbaya sahau kuhusu utajiri

Kama hauna roho mbaya sahau kuhusu utajiri

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
5,139
Reaction score
12,882
Hellow wakuu

Tunaishi kwenye dunia ya kibepari, daktari anategemea wagonjwa wamlipe ili aishi watu wasipo umwa anakufa njaa, mchungaji anategemea waumini watoe sadaka ili apereke watoto shule nzuri ale na kusaza, mganga anategemea biashara za watu ziyumbe ili waende kwake wamlipe ndio awasaidie, polisi anategemea wezi na wavunja sheria akawakamate alipwe na serikali, mhasibu akutunzie na kukuhesabia pesa zako ila utamlipa mwisho wa mwezi.

Azam ili wakuonyeshe mpira lazima uwalipe elfu 28 ya kifurushi ndio upate access.

Wewe ni nani mwanamke ambaye hujawahi kulala nae unampa pesa bila kuifanyia kazi?

Wewe ni nani hadi unampa mtu pesa yako bila yeye kuifanyia kazi

Wewe ni nani Ndugu zako unawapa sehemu ya mshahara wako bila wao kuufanyia kazi?

Unamkuta mtu balabalani analalamika hana nauli unampa prsa yako bila yeye kuifanyia kazi?




Ukiona una roho nzuri kiasi hicho kwenye hii dunia ya kibepari sahau kuhusu utajiri


Nawasilisha
 
Hellow wakuu

Tunaishi kwenye dunia ya kibepari, daktari anategemea wagonjwa wamlipe ili aishi watu wasipo umwa anakufa njaa, mchungaji anategemea waumini watoe sadaka ili apereke watoto shule nzuri ale na kusaza, mganga anategemea biashara za watu ziyumbe ili waende kwake wamlipe ndio awasaidie, polisi anategemea wezi na wavunja sheria akawakamate alipwe na serikali, mhasibu akutunzie na kukuhesabia pesa zako ila utamlipa mwisho wa mwezi. Azam ili wakuonyeshe mpira lazima uwalipe elfu 28 ya kifurushi ndio upate access.


Wewe ni nani mwanamke ambaye hujawahi kulala nae unampa pesa bila kuifanyia kazi?


Wewe ni nani hadi unampa mtu pesa yako bila yeye kuifanyia kazi

Wewe ni nani Ndugu zako unawapa sehemu ya mshahara wako bila wao kuufanyia kazi?

Unamkuta mtu balabalani analalamika hana nauli unampa prsa yako bila yeye kuifanyia kazi?




Ukiona una roho nzuri kiasi hicho kwenye hii dunia ya kibepari sahau kuhusu utajiri


Nawasilisha
Inategemea na mipango Yako!
 
Na unaweza kuwa na roho ngumu na mbaya lakini usifanikiwe.

Kuna watu ni watoaji kwenye mambo ya umuhimu lakini pia ni watafutaji wa pesa. Kwa hiyo hata matumizi yakiongezeka, bado na kipato kinaongezeka

Shida ni kujifanyia ubahili wa laki ili uiishi hiyo laki na wakati kuna watu wanawekeza hadi milioni ya kuhudhuria conference na meetings za kupata deal za billions.

Kwa hiyo mkuu, haya mambo hayatabiriki
 
Sasaivi tu, hata hazijapita dakika 2 nimetoka kumtumia mtoto wa mtu hela ya abaya. Nasubiri kesho nikakate utepe maana mfungo umefika tamati.
 
Na unaweza kuwa na roho ngumu na mbaya lakini usifanikiwe.

Kuna watu ni watoaji kwenye mambo ya umuhimu lakini pia ni watafutaji wa pesa. Kwa hiyo hata matumizi yakiongezeka, bado na kipato kinaongezeka

Shida ni kujifanyia ubahili wa laki ili uiishi hiyo laki na wakati kuna watu wanawekeza hadi milioni ya kuhudhuria conference na meetings za kupata deal za billions.

Kwa hiyo mkuu, haya mambo hayatabiriki
Sawa kabisa Mkuu!Kuna mtu bahiri ukimwambia Dili hakuekewi,ikishakaa kwa mwingine ndio anashtuka!Sasa hapo huyo utajiri atautoa wapi?!!!!
 
Na unaweza kuwa na roho ngumu na mbaya lakini usifanikiwe.

Kuna watu ni watoaji kwenye mambo ya umuhimu lakini pia ni watafutaji wa pesa. Kwa hiyo hata matumizi yakiongezeka, bado na kipato kinaongezeka

Shida ni kujifanyia ubahili wa laki ili uiishi hiyo laki na wakati kuna watu wanawekeza hadi milioni ya kuhudhuria conference na meetings za kupata deal za billions.

Kwa hiyo mkuu, haya mambo hayatabiriki
Wewe unadhani kwanini wachaga wengi ni matajiri?
 
Wewe unadhani kwanini wachaga wengi ni matajiri?
Wapo aggressive na wamejengewa culture ya kuitafuta pesa toka wadogo. Ni sawa tu na wakinga

Japo ni kweli utajiri unahitaji kiasi flani cha ubinafsi na ubahili lakini haimaanishi ukijitoa kwa mtu, bhasi automatically inakuondolea potential ya kutajirika. Ingekuwa hivyo matajiri wasingehonga majumba mkuu
 
Back
Top Bottom