Knock life
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 2,468
- 7,733
Ikiwa hakuna ulazima wa kupanda Boda , basi usipande.
ni kweli!Ikiwa hakuna ulazima wa kupanda Boda , basi usipande.
Ndio maana katanguliza kama hakuna ulazima kiongoziHaujui changamoto za usafiri wa Dar ww hiyo huwezi epuka hata cku moja
Apostle NINI KIMETOKEA 🥺Ikiwa hakuna ulazima wa kupanda Boda , basi usipande.
Pole Sana Ila hiyo kitu Mkuu kwa DSM usipande kabisa Mimi jana kuna jamaa bodaboda wa mtaani .Apostle NINI KIMETOKEA 🥺
Mpaka Leo sipo sawa siku izii hata niwe na haraka vipii SIPANDI NG'OOO BODA BODA SIPANDI NG'OOO.
Hapa dar es salaam ni machinjioniii kwa BODA BODA na ingekua ndio kazi yangu ili Nile ntashindwa kwa kweriii maana tangu nipate ajari last year muda kama huu mwaka Jana nilikua siwezi kutembea kabisa 🥺🥺🥺
Asante sanaa Mungu nimeanza KUPONA KABISA muda huu japo siwezi kurudi kua kama zamani MIMI NINA TESTIMONY JUU YA HILI.
😂😂😂JF imevamiwa na watoto mlenda sana.
Sio lazima uposst pale unapokuwa heat.
Endelea kupanda yalikukuta ndio UTAKUJA kujua.Haujui changamoto za usafiri wa Dar ww hiyo huwezi epuka hata cku moja
Boda inafaa kijijini na rough road, mwendo mdogo mdogo tuMimi bora nitembee kwa Mguu na sio kupanda hiyo kitu hasa maeneo Kama Arusha na Dsm
Nisawa nakusema sipendi tena baada yakuachwa😁😁Apostle NINI KIMETOKEA 🥺
Mpaka Leo sipo sawa siku izii hata niwe na haraka vipii SIPANDI NG'OOO BODA BODA SIPANDI NG'OOO.
Hapa dar es salaam ni machinjioniii kwa BODA BODA na ingekua ndio kazi yangu ili Nile ntashindwa kwa kweriii maana tangu nipate ajari last year muda kama huu mwaka Jana nilikua siwezi kutembea kabisa 🥺🥺🥺
Asante sanaa Mungu nimeanza KUPONA KABISA muda huu japo siwezi kurudi kua kama zamani MIMI NINA TESTIMONY JUU YA HILI.