Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,061
- 144,492
Kama hii habari ni ya kweli,basi kusema kitakachokubalika katika mazungumzo kati ya Barrick na serikali ni lazima kwanza Acacia wayaridhie ndio yakubalike,hakika huu ndio ulikuwa mtego na janja ya hawa wazungu.
Anyway,wacha tusubiri taarifa rasimi kujua ukweli ni upi.