Kama Gwajima na Polepole wana hoja, wajitoe CCM

Kama Gwajima na Polepole wana hoja, wajitoe CCM

The Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
10,959
Reaction score
13,426
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.
 
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.
nyoka akiingia ndani ya nyumba yako hupaswi kuhama nyumba unatakiwa upambane nae ili watoto na familia wawe salama tena hakikisha unampiga kichwani ili asifufuke kabisa.
 
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.

Gwajima amekosa nini?
Hivi kupinga Utekaji ni kosa kisheria hapa Tanzania?
 
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.

Tutabanana humu humu ndani ya CCM. Kadi namba 00110103145
 
Yaani kuna binaadamu ndani ya nchi hii wanauwa,wanateka halaf wala sio ishu kwao,wahuni si watu
 
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.
As long as their enemy is our archenemy, we have no problem with these CCM rebels. we’re fighting a common enemy. Hatupaswi kujaribu kumshambulia rebel yeyote anayetumia silaha zake kumshambulia adui yetu number one!
 
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.
Kama wameasi wafukuzwe
 
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.
Mbona wahuni na raia feki awaj8toi ccm Rostam azizi, zungu ponjori nk
 
Kweli kabisa, hawa watu wanapiga makelele huku bado wako ndani ya chama wanachokosoa. Kama wana dhamira ya kweli basi waachane na CCM kwanza ndipo tuwaamini.

 
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania wakati Tanzania yenyewe 'wanayopigania' ni matumbo yao ni kulipiza visasi kwa kudhulumiwa na dhulumat wenzao.

Kama wanataka tuwaelewe, shurti wajitoe CCM. Huwezi kuendelea kukaa kwenye ndoa halafu ukaiponda. Licha ya kuwa usanii uchwara, ni usanii na kuishiwa hoja mbali na kutapatapa.

Kwanini hawakuyasema waliiyosema wakati wa Jiwe? Unafiki mtupu. Kwendeni zenu nyambaff nyie.
Sijamsikiliza anayejiita askofu, ila huyu mwingine anaipigania ccm yake, kwao ni chama kwanza, sijui bila nchi hicho chama chake kingekuwepo?. Hatoki ili ahakikishe hayo anayoona chama chake kimekengeuka kiyarekebishe.
 
Back
Top Bottom