Kama gazeti la Uhuru limeandika, tunasubiri nini?

Kama gazeti la Uhuru limeandika, tunasubiri nini?

Phillipo Bukililo: Wewe ndo walewale ambao mtoto wao wa kwanza wa kike akipata ujauzito shuleni wanakata tamaa eti na huyu mdogo mtu simpeleki shule atapata tu ujauzito. Mhukumu mtu baada ya kumpa nafasi akashindwa na siyo kulala tu kwa historia na hisia.
 
mkuu tuache internally maana hta ccm ina madudu kibao hasa ya makundi na uminyaji demokrasia maana kma huna hela huwezi shinda uongozi ccm hilo liko wazi kabisa!!!

Twende external yaani pale ambapo ccm na chadema wapo field nani anayeteta maslahi ya watanzania??? na kma tunatetea maslahi kuliko hao ccm kwanni huna imani na ssi?? kwani hizo changamoto za ruzuku sijui demokrasia sijui sera if at all unaona hazipo je hayawezi kuwa solved ??? mpaka uone we are beyond repair??
Haya Brother, lakini nimefurahia sana the way you are spirited.

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Rais Magufuli amechemka katika hili, hata hiyo tume aliyounda sijui itafanya kazi gani, maana kisafirisha mchanga siyo kosa kisheria
 
halikueleweka sasa ilikuwaje mkaporomoka kutoka 84% 2005 mpaka 57% 2015 ?? na upinzani from 20% 2005 mpaka 40% 2015 (NEC)

wananchi walishatuelewa kitambo sana shida no ccm hamtaki kukubaliana na wananchi kuwa wamewachoka ila siku mkikubali ndio mtaona kma kutakuwa na mabadiliko ya kweli ama la!

huwezi sema tu hao mbadala hawawezi wakati kila mtu aliona jinsi bungeni tulivyopambana sana kuzuia miswada mibovu kma ule wa gesi na mafuta afu ccm wanasema NDIOOOO kwa vifungu vyote then wananchi wasituelewe tu???? mkuu be serious ccm imechokwa naamini katiba ikibadilishwa mtatoka tu its just a matter of time
Hizo asilimia wakati mwingine sio kiashiria cha kweli cha nini watanzania wanakihitaji. Huyo huyo Kikwete ambaye asilimia zake zimekwenda zikishuka na akawa ndio chanzo cha matusi yote akiwa rais, leo hii anaonekana malaika!.

Watanzania tunajua sana kuongea, kukosoa, kukejeli lakini mwisho wa siku ujinga wetu upo pale pale. Na ujinga huo ni mbaya sana kwa sababu kwenye majadiliano yetu kinachotangulizwa mbele ni ujuaji wala sio nia ya dhati ya kulikwamua taifa kutoka mahali liliponasa.
 
"TUWAPE WATU WA UPINZANI KAMA TUNDU LISSU NA ZITTO'' yaani kweli yanatoka moyoni kwako? BINAFSI SIAFIKI
 
Hizo asilimia wakati mwingine sio kiashiria cha kweli cha nini watanzania wanakihitaji. Huyo huyo Kikwete ambaye asilimia zake zimekwenda zikishuka na akawa ndio chanzo cha matusi yote akiwa rais, leo hii anaonekana malaika!.

Watanzania tunajua sana kuongea, kukosoa, kukejeli lakini mwisho wa siku ujinga wetu upo pale pale. Na ujinga huo ni mbaya sana kwa sababu kwenye majadiliano yetu kinachotangulizwa mbele ni ujuaji wala sio nia ya dhati ya kulikwamua taifa kutoka mahali liliponasa.
Nani kamuona malaika???? kikwete ndio katufikisha hapa tulipo ssa toka lini wapinzani wamkubali kikwete ?? tulichosema ssi ni kwamba sheria ya vyama vya siasa na uhuru wa maoni ziliheshimiwa zaidi utawala wa kikwete kuliko kipindi hichi ila kumsifia mtu kwenye eneo mona halimfanyi kuwa malaika kwenye maeneo mengine whether rain or sun kikwete ni moja ya watu waliochangia umaskini wetu na mpaka anaenda kaburini hilo halitobadilika.......period
 
CHADEMA" ficho la WALANGUZI na WAUZA NGADA. Kabla hujanitukana,tuulizane nini chanzo cha Wema Sepetu kuhama CCM na kuhamia CHADEMA....???!
 
Nani kamuona malaika???? kikwete ndio katufikisha hapa tulipo ssa toka lini wapinzani wamkubali kikwete ?? tulichosema ssi ni kwamba sheria ya vyama vya siasa na uhuru wa maoni ziliheshimiwa zaidi utawala wa kikwete kuliko kipindi hichi ila kumsifia mtu kwenye eneo mona halimfanyi kuwa malaika kwenye maeneo mengine whether rain or sun kikwete ni moja ya watu waliochangia umaskini wetu na mpaka anaenda kaburini hilo halitobadilika.......period
Mkuu, kwetu sisi waafrika shukrani ni neno la kwenye vitabu na sio zaidi ya hapo. Naweza kumsema Kikwete kuhusiana na safari nyingi za ughaibuni lakini yapo mengi sana ya msingi ambayo amewahi kuyafanya.

Aina ya upinzani wa nchi hii ni ile ambayo haiji na mawazo mbadala yenye kuweza kuufanya ukawa ndio suluhisho au kimbilio la wale waliochoka CCM.

Huyu wa sasa ni binadamu mwenye upungufu wake na uzuri wake. Na sio lazima afanane na mtu fulani ambaye tunamfahamu.

Mnashindwa kuwa na mgombea wenu wenyewe wa urais mnasubiri yakutokea yatokee ndani ya CCM ili mumchukue aliyejiondoa huko, halafu bado mnao ujasiri wa kukikosoa chama ambacho mtu waliyeachana nae kawaongezeeni idadi wa wabunge na madiwani!!.
 
Gazeti lenyewe "Uhuru" , japo habari inaweza kuwa kweli!!
 
Mkuu, kwetu sisi waafrika shukrani ni neno la kwenye vitabu na sio zaidi ya hapo. Naweza kumsema Kikwete kuhusiana na safari nyingi za ughaibuni lakini yapo mengi sana ya msingi ambayo amewahi kuyafanya.

Aina ya upinzani wa nchi hii ni ile ambayo haiji na mawazo mbadala yenye kuweza kuufanya ukawa ndio suluhisho au kimbilio la wale waliochoka CCM.

Huyu wa sasa ni binadamu mwenye upungufu wake na uzuri wake. Na sio lazima afanane na mtu fulani ambaye tunamfahamu.

Mnashindwa kuwa na mgombea wenu wenyewe wa urais mnasubiri yakutokea yatokee ndani ya CCM ili mumchukue aliyejiondoa huko, halafu bado mnao ujasiri wa kukikosoa chama ambacho mtu waliyeachana nae kawaongezeeni idadi wa wabunge na madiwani!!.
chama gani hakina sera mbadala kwani unewahi soma majedwali ya marekebisho yamiswada mbali mbali yanayopelekwaga kwenye kamati na KUB???? ushawahi soma bajeti kivuli??ushawahi soma ilani za uchaguzi ambazo ndio zinatoa mwanga wa sera nzima za chama??? je ushawahi soma hotuba za KUB kwenda wizara mbalimbali????
upinzani tuna sera mbadala nyingi tu sema ni vile wanaccm hawataki kabisa kukubali kuwa upinzani wa ssa umekomaa na upo tayri kwa dola!!!!

khusu mgombea urais unasema tunamsubiri mpaka atoke ccm ila unasahau kuwa hakuna mgombea urais wa upinzani ambaye hajatokea ccm sio mbowe sio slaa sio lipumba sio maalim wote hawa wametokea ccm ssa tofauti ni timing tu sioni kma hoja yako ina mashiko!!! maana tungemweka slaa naye ana kadi ya ccm angewekwa lisu naye kadi ya ccm angewekwa mbowe naye ana kadi ya ccm ssa kwanni ushupalie tu lowasa na usahau hao wengine pia wametokea ccm?? kwani kinachojalisha ni chama au spirit ulionayo?? vyama ni nyenzo tu unaweza kuwa upinzani lakini fikra na mtazamo wako vikawa ccm na hivyo hukatazwi kuhama kwanni iwe nongwa kwa lowassa????
 
chama gani hakina sera mbadala kwani unewahi soma majedwali ya marekebisho yamiswada mbali mbali yanayopelekwaga kwenye kamati na KUB???? ushawahi soma bajeti kivuli??ushawahi soma ilani za uchaguzi ambazo ndio zinatoa mwanga wa sera nzima za chama??? je ushawahi soma hotuba za KUB kwenda wizara mbalimbali????
upinzani tuna sera mbadala nyingi tu sema ni vile wanaccm hawataki kabisa kukubali kuwa upinzani wa ssa umekomaa na upo tayri kwa dola!!!!

khusu mgombea urais unasema tunamsubiri mpaka atoke ccm ila unasahau kuwa hakuna mgombea urais wa upinzani ambaye hajatokea ccm sio mbowe sio slaa sio lipumba sio maalim wote hawa wametokea ccm ssa tofauti ni timing tu sioni kma hoja yako ina mashiko!!! maana tungemweka slaa naye ana kadi ya ccm angewekwa lisu naye kadi ya ccm angewekwa mbowe naye ana kadi ya ccm ssa kwanni ushupalie tu lowasa na usahau hao wengine pia wametokea ccm?? kwani kinachojalisha ni chama au spirit ulionayo?? vyama ni nyenzo tu unaweza kuwa upinzani lakini fikra na mtazamo wako vikawa ccm na hivyo hukatazwi kuhama kwanni iwe nongwa kwa lowassa????
Tatizo lenu nyinyi mna bei, mnanunulika tena kwa urahisi tu. Sera zenu mbadala ni kuhoji mambo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, na sio zaidi ya hapo.

Hamna jipya, mbowe anafikisha miaka 13 akiwa kiongozi mkuu wa CDM, mwakani utakuwa wa kumi na nne na itaendelea kuwa mingi tu. Kwa sababu nyinyi mna bei, na watu wanaifahamu bei yenu.
 
Tatizo lenu nyinyi mna bei, mnanunulika tena kwa urahisi tu. Sera zenu mbadala ni kuhoji mambo yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani, na sio zaidi ya hapo.

Hamna jipya, mbowe anafikisha miaka 13 akiwa kiongozi mkuu wa CDM, mwakani utakuwa wa kumi na nne na itaendelea kuwa mingi tu. Kwa sababu nyinyi mna bei, na watu wanaifahamu bei yenu.
sera zilizopo ni za kuhoji yafanywayo na serikali??? kwani kazi ya upinzani ni nni?? hivi hukusoma civics ama maana unanishangaza hujui majukumu ya upinzani baada ya uchaguzi.

ina maana misimamo kma katiba mpya sijui kubana matumizi elimu bure yalikuwa yameshafanywa na serikali ya ccm hadi wapinznai kuamua kuweka kwenye ilani ya uchaguzi??? niambie kipi kwenye ilani ya chadema 2015 kilicorelate na mambo yaliofanywa tayari na chama tawala?????

pia kuhusu bei naona mnajidanganya kma tungekuwa tuna bei msingekimbilia kununua magari ya washawasha na kujaza silaha kipindi cha chaguzi ila mnafanya hivo maana mnajua msipotumia nguvu mnaangushwa asbuhi peupe...... bei zitaishia kwa mrema na cheyo huku kwingine mtasubiri sana na kma mnafkiri akitoka mbowe atakuja mwenye bei poleni sana maana kuiangusha chadema sio issue ya siku moja wassira na mwigulu walishindwa sembuse magu??
 
sera zilizopo ni za kuhoji yafanywayo na serikali??? kwani kazi ya upinzani ni nni?? hivi hukusoma civics ama maana unanishangaza hujui majukumu ya upinzani baada ya uchaguzi.

ina maana misimamo kma katiba mpya sijui kubana matumizi elimu bure yalikuwa yameshafanywa na serikali ya ccm hadi wapinznai kuamua kuweka kwenye ilani ya uchaguzi??? niambie kipi kwenye ilani ya chadema 2015 kilicorelate na mambo yaliofanywa tayari na chama tawala?????

pia kuhusu bei naona mnajidanganya kma tungekuwa tuna bei msingekimbilia kununua magari ya washawasha na kujaza silaha kipindi cha chaguzi ila mnafanya hivo maana mnajua msipotumia nguvu mnaangushwa asbuhi peupe...... bei zitaishia kwa mrema na cheyo huku kwingine mtasubiri sana na kma mnafkiri akitoka mbowe atakuja mwenye bei poleni sana maana kuiangusha chadema sio issue ya siku moja wassira na mwigulu walishindwa sembuse magu??
Nyinyi mmefilisika sana kisiasa, mlimuita JK rais dhaifu leo mmetumia karibu dakika kumi katika kumshangilia.
 
Nyinyi mmefilisika sana kisiasa, mlimuita JK rais dhaifu leo mmetumia karibu dakika kumi katika kumshangilia.
mbona unatoka kwenye hoja??? rudi kwenye hoja nione IQ zenu wanalumumba nmesema kachungulie ilani ya chadema unipe sera tuliyoreplicate kutoka utawala wa miaka 50 uliofeli wa ccm!!!!

khusu JK nlishasema kuna mahali lazma umsifie mtu hta km ndio worst president toka tupate uhuru ila kwenye eneo la sheria ya vyaka vya siasa pia uhuru wa maoni JK alijitahidi sana hapo tuuui!!!! pia hta diplomasia na miundombinu pia alijitahidi hilo halipingiki hta kma sikuwahi mpigia kura wala kumpenda ssa tukisifia hayo maeneo ndio tunakuwa tumesema KIKWETE IS THE BEST????
 
mbona unatoka kwenye hoja??? rudi kwenye hoja nione IQ zenu wanalumumba nmesema kachungulie ilani ya chadema unipe sera tuliyoreplicate kutoka utawala wa miaka 50 uliofeli wa ccm!!!!

khusu JK nlishasema kuna mahali lazma umsifie mtu hta km ndio worst president toka tupate uhuru ila kwenye eneo la sheria ya vyaka vya siasa pia uhuru wa maoni JK alijitahidi sana hapo tuuui!!!! pia hta diplomasia na miundombinu pia alijitahidi hilo halipingiki hta kma sikuwahi mpigia kura wala kumpenda ssa tukisifia hayo maeneo ndio tunakuwa tumesema KIKWETE IS THE BEST????

Basi baada ya magufuli mtakuja kumpigia makofi na hata mabusu
 
Back
Top Bottom