Kama Dunia inazunguka jua kwa Spidi kubwa kwanini vyombo vilivyo nje ya dunia haviachwi?

Ha ha ha ha ha! Swali zuri lakini lazima nikiri linachekesha. Kwa mtazamo ulio nao, ingekuwa wakati mtu akiruka akianguka chini anakuta pale aliporukia pameshapita saa nyingi! Ingekuwa nikitaka kwenda Kigoma toka Dar, basi naruka juu umbali fulani, nikianguka chini najikuta nimeangukia Kigoma Dar ilishapita saa nyingi!

Zile story za ukiruka ndani ya lori utaangukia chini si kweli, japo nasikia watu wakisema kuna Mmasai aliruka ndani ya lori linalokimbia akaachwa! Huwezi kuachwa kwa kuwa unaporuka unakuwa uko kwenye spidi ya lori tayari. Ingekuwa unaachwa basi ingekuwa ukiwa kwenye ndege ukarusha shilingi ingeangukia nyuma kabisa ya ndege!

Lakini kitu cha kukumbuka ni kwamba dunia inazunguka jua katika obiti yake ile ile, ya mduara na wakati na yenyewe inazunguka katika mhimili wake. Na kinachosababisha usiku na mchana sio kitendo cha dunia kuzunguka jua, bali ni dunia kuzunguka kwenye mhimili wake yenyewe wakati inalizunguka jua. Kuizunguka jua kunasababisha mabadiliko ya majira, masika, kiangazi nk.

Sasa dunia haiziachi satelite kwa kuwa satelite na zenyewe zinakimbia, haziko stationery. Ukiona unaiona satelite kila siku iko pale pale ni kwamba inazunguka kwa spidi ile ile ya dunia. Ni sawa na gari mbili zilizo sambamba zikiwa spidi moja utaona kama gari ya pili haiendi iko pale pale kwa kuwa zinaenda spidi sawa. Ili satelite isihame na kwenda mbali na dunia izunguke dunia kuna hesabu zinapigwa ili kujua ikimbie kwa spidi gani ili kubaki kwenye mvutano kati yake na dunia. Spidi hiyo hutegemea uzito wa satelite na umbali kutoka uso wa dunia.

Ili kujua satelite ikimbie kwa spidi gani ili kuendelea kuzunguka dunia tunatumia hii forula

v = (GM/R)1/2
ambapo G = nguvu ya gravity (9.8m/s2)
R = umbali toka katikati ya dunia na satelite
M = uzito wa satelite

Labda tofauti moja ni kwamba kuna satelite ambazo kutokana na sehemu zilipo, kadiri dunia inavyozunguka jua na kuzunguka katika mhimili wake inafanya wakati fulani direct line ya satelite toka duniani iwe sehemu mbalimbali za dunia kulingana na dunia inavyozunguka, hasa zile zilicho chini chini karibu na dunia, kwenye kinachoitwa Low Earth Orbit. Ndio maana kwa mfano, unaweza kuwa na satelite ambayo ni saa sita hadi saa saba mchana tu inakuwa katika direct line na Dar es Salaam, na hivyo inaweza kukupigia picha za Dar wakati huo.

Nadhani umeelewa. Tupo Mzee, hata kama Magufuli hatutambui!




Mkuu umefafanua vizuri, shukrani, lakini samahani jaribu kucheki katika hiyo formular (kikokoto).

G=universal gravitational constant 6.67×10^-11 m^3kg^-1s^-2, na wala siyo g=9.81m/s^2.

Ukitaka kutumia g hiyo formular itakuwa:-

V=√[g/(1+h/re)]

Ambapo h ni umbali kutoka uso wa dunia hadi kwenye satellite na re ni nusu kipenyo cha dunia.

Juu ya yote formular yako ni safi mkuu.
 
jiulize kwanini ukiwa kwenye ndege ukirusha kitenesi juu unakidaka palepale ,ingawa spidi ya ndege ni zaidi ya km 500/h kanini usikiache kitenesi nyuma,au nzi anakua hewani lakini mnamove nae
Ok na vipi kama nikiwa juu ya gari linalokimbia let say lori, nikaurusha kitenesi juuu, je hicho kiteni kitadondokea pale pale kwenye lori au nitakiacha nyuma
 
Mkuu umefafanua vizuri, shukrani, lakini samahani jaribu kucheki katika hiyo formular (kikokoto).

G=universal gravitational constant 6.67×10^-11 m^3kg^-1s^-2, na wala siyo g=9.81m/s^2.

Ukitaka kutumia g hiyo formular itakuwa:-

V=√[g/(1+h/re)]

Ambapo h ni umbali kutoka uso wa dunia hadi kwenye satellite na re ni nusu kipenyo cha dunia.

Juu ya yote formular yako ni safi mkuu.
Mkuu, nadhani tunaongelea kitu kimoja

Universal gravitational constant = 6.67408 × 10-11 m3 kg-1 s-2

Sasa ukikokotoa hiyo hesabu sio utaishia na 9.8m/s2, ukichukulia distance ambayo mara nyingi satelite zinakuwa launched? I have to check.
 
Ha ha ha ha ha! Swali zuri lakini lazima nikiri linachekesha. Kwa mtazamo ulio nao, ingekuwa wakati mtu akiruka akianguka chini anakuta pale aliporukia pameshapita saa nyingi! Ingekuwa nikitaka kwenda Kigoma toka Dar, basi naruka juu umbali fulani, nikianguka chini najikuta nimeangukia Kigoma Dar ilishapita saa nyingi!

Zile story za ukiruka ndani ya lori utaangukia chini si kweli, japo nasikia watu wakisema kuna Mmasai aliruka ndani ya lori linalokimbia akaachwa! Huwezi kuachwa kwa kuwa unaporuka unakuwa uko kwenye spidi ya lori tayari. Ingekuwa unaachwa basi ingekuwa ukiwa kwenye ndege ukarusha shilingi ingeangukia nyuma kabisa ya ndege!

Lakini kitu cha kukumbuka ni kwamba dunia inazunguka jua katika obiti yake ile ile, ya mduara na wakati na yenyewe inazunguka katika mhimili wake. Na kinachosababisha usiku na mchana sio kitendo cha dunia kuzunguka jua, bali ni dunia kuzunguka kwenye mhimili wake yenyewe wakati inalizunguka jua. Kuizunguka jua kunasababisha mabadiliko ya majira, masika, kiangazi nk.

Sasa dunia haiziachi satelite kwa kuwa satelite na zenyewe zinakimbia, haziko stationery. Ukiona unaiona satelite kila siku iko pale pale ni kwamba inazunguka kwa spidi ile ile ya dunia. Ni sawa na gari mbili zilizo sambamba zikiwa spidi moja utaona kama gari ya pili haiendi iko pale pale kwa kuwa zinaenda spidi sawa. Ili satelite isihame na kwenda mbali na dunia izunguke dunia kuna hesabu zinapigwa ili kujua ikimbie kwa spidi gani ili kubaki kwenye mvutano kati yake na dunia. Spidi hiyo hutegemea uzito wa satelite na umbali kutoka uso wa dunia.

Ili kujua satelite ikimbie kwa spidi gani ili kuendelea kuzunguka dunia tunatumia hii forula

v = (GM/R)1/2
ambapo G = nguvu ya gravity (9.8m/s2)
R = umbali toka katikati ya dunia na satelite
M = uzito wa satelite

Labda tofauti moja ni kwamba kuna satelite ambazo kutokana na sehemu zilipo, kadiri dunia inavyozunguka jua na kuzunguka katika mhimili wake inafanya wakati fulani direct line ya satelite toka duniani iwe sehemu mbalimbali za dunia kulingana na dunia inavyozunguka, hasa zile zilicho chini chini karibu na dunia, kwenye kinachoitwa Low Earth Orbit. Ndio maana kwa mfano, unaweza kuwa na satelite ambayo ni saa sita hadi saa saba mchana tu inakuwa katika direct line na Dar es Salaam, na hivyo inaweza kukupigia picha za Dar wakati huo.

Nadhani umeelewa. Tupo Mzee, hata kama Magufuli hatutambui!
G=Universal gravitational constant=6.67x10E(-11)
g=acceleration due to gravity ,=9.8m/s sqr or 10m/s sqr or 9.8N/Kg 10N/Kg
 
Mkuu, nadhani tunaongelea kitu kimoja

Universal gravitational constant = 6.67408 × 10-11 m3 kg-1 s-2

Sasa ukikokotoa hiyo hesabu utaishia na 9.8m/s2



G=universal gravitational constant.

Ipo kwenye universal gravitational law formular;-
na g ni acceleration due to gravitational force.

Mkuu, nadhani tunaongelea kitu kimoja

Universal gravitational constant = 6.67408 × 10-11 m3 kg-1 s-2

Sasa ukikokotoa hiyo hesabu sio utaishia na 9.8m/s2, ukichukulia distance ambayo mara nyingi satelite zinakuwa launched? I have to check.


You have to check;-
Whereas g and G are equivalent and related in the below equation

g=Gm/re²

where m= mass of the earth, re=radius of the earth.
 
Ok na vipi kama nikiwa juu ya gari linalokimbia let say lori, nikaurusha kitenesi juuu, je hicho kiteni kitadondokea pale pale kwenye lori au nitakiacha nyuma
itategemea na height ,kama utakirusha karibu lets say mita moja kwenda juu utakidaga hapohapo lakini kama utakirusha juu sana lazima utakiacha.(Refer theory of relativity Albert Einstein)
 
Satellite nazo zinazunguka kufuata mzungo na kasi ya mzunguko wa dunia.

Sio kwamba zinakuwa zimetulia.

Ni kama wewe upo ubavuni mwa gari unakimbia speed sawa na gari huku unawasiliana na mtu alie kwenye gari, gari ikikata kona na wewe unakata huko huko mradi ubaki usawa wa dirisha lile la gari unaloongea na mtu.
hahaha hata mimi wa form four nimeelewa.
 
itategemea na height ,kama utakirusha karibu lets say mita moja kwenda juu utakidaga hapohapo lakini kama utakirusha juu sana lazima utakiacha.(Refer theory of relativity Albert Einstein)


Mkuu Nadhani hapo hasa ni Newton first law of motion ndiyo inayohusika, kama atarusha kwa umbali fulani na kitu hicho kisizuiwe na external force yoyote mfano air resistance basi kitarudi humo humo, nasema kwa umbali mfupi kiasi kwa sababu dunia ipo duara sasa kama atarusha kwa umbali mrefu lazima umbo la dunia (earth surface curvature) lizingatiwe.
 
itategemea na height ,kama utakirusha karibu lets say mita moja kwenda juu utakidaga hapohapo lakini kama utakirusha juu sana lazima utakiacha.(Refer theory of relativity Albert Einstein)
Law of relativity sio applicable kwa case kama hii,,,
 
Mkuu Nadhani hapo hasa ni Newton first law of motion ndiyo inayohusika, kama atarusha kwa umbali fulani na kitu hicho kisizuiwe na external force yoyote mfano air resistance basi kitarudi humo humo, nasema kwa umbali mfupi kiasi kwa sababu dunia ipo duara sasa kama atarusha kwa umbali mrefu lazima umbo la dunia (earth surface curvature) lizingatiwe.
in that case horizontal acc is the same as that of the vehicle but there is variation of vertical acc hence hata masai akiruka ndani atarud humo humo ndani ya gari after a certain time interval
 
in that case horizontal acc is the same as that of the vehicle but there is variation of vertical acc hence hata masai akiruka ndani atarud humo humo ndani ya gari after a certain time interval


Nadhani swali lenyewe liko hivi; kama mtu yumo ndani ya gari linalotembea kwa horizontal constant velocity na mtu huyo akarusha kitu juu umbali fulani, je kitu hicho kinaweza kumrudia huyo mtu wakati gari ikiendelea kwenda katika hiyo horizontal constant velocity?,

Jibu langu nafikiri ni ndiyo na hiyo ni kulingana na Newton 1st law, pili ni lazima umbali wa kurusha hicho kitu kwenda juu uwe "relative small".

Kama gari litakuwa linaenda kwa non- horizontal constant velocity (accelerate), basi kamwe kitu hicho hakiwezi kurudi kwenye gari kwa sababu gari litakuwa lina accelerate wakati kile kitu kitakuwa kimeacha ku accelerate mara baada ya kurushwa, yaani kitakuwa kikienda horintally na velocity kiliyotoka nayo kwenye gari ambayo itakuwa ni constant na wakati huo gari tayari litakuwa na velocity nyingine kabisa.

NB: Katika suala hili vertical velocity ya hicho kitu haihusiki na lolote katika horizontal velocity.

That's my take.
 
Ha ha ha ha ha! Swali zuri lakini lazima nikiri linachekesha. Kwa mtazamo ulio nao, ingekuwa wakati mtu akiruka akianguka chini anakuta pale aliporukia pameshapita saa nyingi! Ingekuwa nikitaka kwenda Kigoma toka Dar, basi naruka juu umbali fulani, nikianguka chini najikuta nimeangukia Kigoma Dar ilishapita saa nyingi!

Zile story za ukiruka ndani ya lori utaangukia chini si kweli, japo nasikia watu wakisema kuna Mmasai aliruka ndani ya lori linalokimbia akaachwa! Huwezi kuachwa kwa kuwa unaporuka unakuwa uko kwenye spidi ya lori tayari. Ingekuwa unaachwa basi ingekuwa ukiwa kwenye ndege ukarusha shilingi ingeangukia nyuma kabisa ya ndege!

Lakini kitu cha kukumbuka ni kwamba dunia inazunguka jua katika obiti yake ile ile, ya mduara na wakati na yenyewe inazunguka katika mhimili wake. Na kinachosababisha usiku na mchana sio kitendo cha dunia kuzunguka jua, bali ni dunia kuzunguka kwenye mhimili wake yenyewe wakati inalizunguka jua. Kuizunguka jua kunasababisha mabadiliko ya majira, masika, kiangazi nk.

Sasa dunia haiziachi satelite kwa kuwa satelite na zenyewe zinakimbia, haziko stationery. Ukiona unaiona satelite kila siku iko pale pale ni kwamba inazunguka kwa spidi ile ile ya dunia. Ni sawa na gari mbili zilizo sambamba zikiwa spidi moja utaona kama gari ya pili haiendi iko pale pale kwa kuwa zinaenda spidi sawa. Ili satelite isihame na kwenda mbali na dunia izunguke dunia kuna hesabu zinapigwa ili kujua ikimbie kwa spidi gani ili kubaki kwenye mvutano kati yake na dunia. Spidi hiyo hutegemea uzito wa satelite na umbali kutoka uso wa dunia.

Ili kujua satelite ikimbie kwa spidi gani ili kuendelea kuzunguka dunia tunatumia hii forula

v = (GM/R)1/2
ambapo G = nguvu ya gravity (9.8m/s2)
R = umbali toka katikati ya dunia na satelite
M = uzito wa satelite

Labda tofauti moja ni kwamba kuna satelite ambazo kutokana na sehemu zilipo, kadiri dunia inavyozunguka jua na kuzunguka katika mhimili wake inafanya wakati fulani direct line ya satelite toka duniani iwe sehemu mbalimbali za dunia kulingana na dunia inavyozunguka, hasa zile zilicho chini chini karibu na dunia, kwenye kinachoitwa Low Earth Orbit. Ndio maana kwa mfano, unaweza kuwa na satelite ambayo ni saa sita hadi saa saba mchana tu inakuwa katika direct line na Dar es Salaam, na hivyo inaweza kukupigia picha za Dar wakati huo.

Nadhani umeelewa. Tupo Mzee, hata kama Magufuli hatutambui!

Msaada tutani, somo linaanza kuingia ingawa kwa udogo wake, Naomba naulize swali, Ni umbali gani Dunia hutumia kulizunguka Jua? Halafu Mwezi hulizunguka Jua, Dunia au umesimama?
 
Back
Top Bottom