kama dar hailipi hamia mikoani

kama dar hailipi hamia mikoani

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,441
sielewi kwa nini watu wengi wanapenda kuishi dar,lakini kwa jinsi navyoona hiyo nchi hata mikoani unaweza kuishi maisha mazuri,
nimeona pale tunduma vijana wadogo wana fedha nyingi sana
nafikiri kama nafanikiwa kurudi tanzania siwezi kuishi dar
 
Wewe endelea kuishi huko huko mzee,...bongo noooooooooooooma
 
Piga box tu mkuuu huku jua kali saaaaaaaaaaaaaana baba
 
Usirudi huku komaa hukohuko huku jua kali...
 
sielewi kwa nini watu wengi wanapenda kuishi dar,lakini kwa jinsi navyoona hiyo nchi hata mikoani unaweza kuishi maisha mazuri,
nimeona pale tunduma vijana wadogo wana fedha nyingi sana
nafikiri kama nafanikiwa kurudi tanzania siwezi kuishi dar

mmmh!! Hamia mikoani??? Hivi Dar siyo mkoa eeeh??????? teh teh teh
 
mmmh!! Hamia mikoani??? Hivi Dar siyo mkoa eeeh??????? teh teh teh

afadhali,maana ata mie uwa sielewi hii lugha...
karibuni uku ha ha ha na kweli tuna pesa za maana tu toka tuhame mkoa wa dar
 
Inaweza kuwa rahisi kupata pesa huko lakini kubwa zaidi ni matumizi....Tunduma utatumia wapi? Acha kupotea njoo tupate raha mjini DSM
 
sielewi kwa nini watu wengi wanapenda kuishi dar,lakini kwa jinsi navyoona hiyo nchi hata mikoani unaweza kuishi maisha mazuri,
nimeona pale tunduma vijana wadogo wana fedha nyingi sana
nafikiri kama nafanikiwa kurudi tanzania siwezi kuishi dar

acha uongo mkuu, utaishi wapi? na kwanini uko ughaibuni
 
Back
Top Bottom