sielewi kwa nini watu wengi wanapenda kuishi dar,lakini kwa jinsi navyoona hiyo nchi hata mikoani unaweza kuishi maisha mazuri,
nimeona pale tunduma vijana wadogo wana fedha nyingi sana
nafikiri kama nafanikiwa kurudi tanzania siwezi kuishi dar
mmmh!! Hamia mikoani??? Hivi Dar siyo mkoa eeeh??????? teh teh teh
sielewi kwa nini watu wengi wanapenda kuishi dar,lakini kwa jinsi navyoona hiyo nchi hata mikoani unaweza kuishi maisha mazuri,
nimeona pale tunduma vijana wadogo wana fedha nyingi sana
nafikiri kama nafanikiwa kurudi tanzania siwezi kuishi dar
lolz! Labda ni nchi...huwa naiskia sana hii!mmmh!! Hamia mikoani??? Hivi Dar siyo mkoa eeeh??????? teh teh teh