Ikiwa Chalamila atafanya hivyo, tafsiri itakuwa hivi:-
1. Serikali haina nia njema kuelekea chaguzi zinazokuja huko mbeleni kwani kama Serikali ingekuwa na nia njema, badala ya kutumia nguvu nyingi za Askari kuzuia Maandamano, wangetumia nguvu hizo kufanya mazungumzo na CHADEMA.
2. Itaonesha wazi kwamba, Tanzania hakuna tena Demokrasia.
3. Dunia itakuwa upande wa CHADEMA, kwani CHADEMA hawana Jeshi lakini Serikali inatumia Jeshi.
4. Mama atakuwa ameingizwa kwenye mtego ambapo kijinasua kwake ni kwa fedheha.
1. Serikali haina nia njema kuelekea chaguzi zinazokuja huko mbeleni kwani kama Serikali ingekuwa na nia njema, badala ya kutumia nguvu nyingi za Askari kuzuia Maandamano, wangetumia nguvu hizo kufanya mazungumzo na CHADEMA.
2. Itaonesha wazi kwamba, Tanzania hakuna tena Demokrasia.
3. Dunia itakuwa upande wa CHADEMA, kwani CHADEMA hawana Jeshi lakini Serikali inatumia Jeshi.
4. Mama atakuwa ameingizwa kwenye mtego ambapo kijinasua kwake ni kwa fedheha.