- Thread starter
- #41
Hata hivyo mkuu zingatia hii:
"Watuswamehe tuliowashuku wasiokuwemo. Mwenyekiti wa Shina la CCM Kilimatinde ana nini cha kufanya na kesi au hukumu za kubumbwa kwa Mbowe?"
Kiongozi huyo wa Shina Kilimatinde ana nini cha kufanya na Lijenje, Ben, Azory au kushambuliwa Lissu?
Ana nini cha kufanya na wa kwenye viroba?
Ana nini cha kufanya na mazuio ya mikusanyiko au kusitishwa kwa mchakato wa katiba mpya?
Hata Samia ni mouth piece tu.
Pole pole ana hoja. Tumeshikiliwa mateka.