Kama bado haijakutokea kaa tayari!!

Kama bado haijakutokea kaa tayari!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Inatokea umeishi na mpenzi wako wa ME/KE katika mahusiano kwa miaka kadhaa hivi ambapo mlianza kufurahia maraha ya mapenzi bila kukwazana au kutofautiana kwa namna yoyote ile ghafla mmoja wenu anampata mpenzi mwingine na anakuja kukuambia ghafla kwamba hataki kuendelea na mahusiano na wewe tena pasipo kukwambia sababu iliyompelekea kufanya hivyo ni nini hasa,. Je utachukua hatua gani na mlipendana kwa dhati?,. Mchango tafadhali
 
Life goes on mwisho wa siku...inalatisha tamaa ila huwezi lazimisha mtu kuwa nawewe, its hard bt mbele ndio mwendo
 
Namuacha. Penzi halilazimishwi.All these women, why cling to one who aint willing? Not me.

Then Who!!!!!

It sucks, but sometimes people's feelings change out of the blue. so you let IT GO!!!!!!!!

Trying to figure out why is just going to hurt you more.
 
Then Who!!!!!

It sucks, but sometimes people's feelings change out of the blue. so you let IT GO!!!!!!!!

Trying to figure out why is just going to hurt you more.

This is true, especially because granting a visa to one's heart is like granting a visa to one's country.

Denial does not need explanation. This is backed by international diplomatic treaties dating back to the "Peace of Westphalia" 🙂

As with all similar treaties, reciprocity is available and highly encouraged.
 
This is true, especially because granting a visa to one's heart is like granting a visa to one's country.

Denial does not need explanation. This is backed by international diplomatic treaties dating back to the "Peace of Westphalia" 🙂

As with all similar treaties, reciprocity is available and highly encouraged.

ah Kiranga!
 
Last edited by a moderator:
Then Who!!!!!

It sucks, but sometimes people's feelings change out of the blue. so you let IT GO!!!!!!!!

Trying to figure out why is just going to hurt you more.

Heaven dear mimi siamini katika penzi la kulazimishana. Binti akifunguka kuwa hanipendi tena basi namuacha. Nampa no contact - no phone, no sms, no text, no whatsapp nothing. Kitu gani bwana, there's puntang lined up all over halafu niumize kichwa na mmoja? one woman? really. Nah it aint right.
 
Heaven dear mimi siamini katika penzi la kulazimishana. Binti akifunguka kuwa hanipendi tena basi namuacha. Nampa no contact - no phone, no sms, no text, no whatsapp nothing. Kitu gani bwana, there's puntang lined up all over halafu niumize kichwa na mmoja? one woman? really. Nah it aint right.

I think it looks simple by light words but when it comes into reality is something nervous and nothing to comment on it!! Note: May be you didn't love him/her hardly
 
Maisha lazima yaendelee,mtu ameshasema basi utamlazimisha? 'kuforce' mapenzi ni kujitaftia majanga tu!
 
I think it looks simple by light words but when it comes into reality is something nervous and nothing to comment on it!! Note: May be you didn't love him/her hardly

chakii hapana sio hivyo ndugu yangu. Huwezi kumlazimisha mtu kukupenda. I tend not to invest too much emotionally in a relationship. And I hate ultimatums and I surely do not beg, heck no. Kama ameamua kubwaga manyanga kheri tu, aende.
 
Every thing happen for a reason so mwache aende zke jpo inauma ki ukwel,same thing happen 2 me n since zen nmeamuwa kuwa single for 2yrs nw ili niendlee na issue zang za kuniingzia mkwnja na maisha ynasonga kma kawa without her presence coz hkna penz la kulazmisha aisee na wengi wanamna hyo huwa wanatafta sehemu ya kutolea machngu yao ya kutendwa so ukijaa 2 hpo ndo atakapokupga chn bla huruma,ogpa watoto wa mjn aisee
 
Maisha lazima yaendelee,mtu ameshasema basi utamlazimisha? 'kuforce' mapenzi ni kujitaftia majanga tu!

kisicho rizki hakiliki mwache aende kinachoniudhi baada ya muda wanarudi tena wakati nafasi yake hakuna!
 
LET IT GO...he/she znt ur oxygen that withnmut hm/hr no life..,inauma lakini hauwez kuumia maisha wala hauwez kulazimisha penzi,ila mara nyingi hua wanarudi maana wanachodhani na kutegemea watakipata huko nje hua hawakipati hvyo hurud,na mtu hakirud hakuna kumpa nafasi..na mtu akikwambia hakutaki bora ushukuru maana hakua wako huyo,msubir wako anakuja wala hata kupa stress
 
This is true, especially because granting a visa to one's heart is like granting a visa to one's country.

Denial does not need explanation. This is backed by international diplomatic treaties dating back to the "Peace of Westphalia" 🙂

As with all similar treaties, reciprocity is available and highly encouraged.

Tumia kiswahili tu mkuu hizi lugha za wazungu waachie wenyewe zitakusumbua.
 
ah... mambo yakulaZILImiSHA yanini ? let her go...
 
Tumia kiswahili tu mkuu hizi lugha za wazungu waachie wenyewe zitakusumbua.

Zitanisumbua mimi au wewe?

Mimi napenda vitu vinavyonisumbua (kama lugha za kigeni) kwa sababu ndivyo vinavyopanua wigo wa uelewa wangu.

Labda tatizo letu wengi si kwamba tunapenda vitu vinavyotusumbua, bali hatupendi vitu vinavyotusumbua.

Hata Roma ilijengwa kwa kusumbuka.
 
Kwanini suala la kuachana linasumbua sana hasa kwetu watz? Kuvuja kwa pakacha...... Lazima tukubali maisha ni ''mimi'' na si ''sisi''.
 
Pamoja sana wadau.lakini kutoswa noma, kwani muda,pesa,moral help na penzi huwa vimepotea.Msinikumbushe machungu mie.
 
Haya mapenzi acha basi ni kheir mtu akwambie ukweli kama hakuhitaji kuliko kuwekana roho juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom