Kama bado haijakutokea kaa tayari!!

Kama bado haijakutokea kaa tayari!!

Zitanisumbua mimi au wewe?

Mimi napenda vitu vinavyonisumbua (kama lugha za kigeni) kwa sababu ndivyo vinavyopanua wigo wa uelewa wangu.

Labda tatizo letu wengi si kwamba tunapenda vitu vinavyotusumbua, bali hatupendi vitu vinavyotusumbua.

Hata Roma ilijengwa kwa kusumbuka.

Bravo, kuna ujumbe mzito sana kwenye hii posti yako ila navyowafahamu watanzania kwa kutopenda visivyosumbua ni wachache sana wataupata.
 
hapo kwenye bold, kama MLIPENDANA KWA DHATI, hayo ya kuachana bila sababu yanatoka wapi? labda km mlikuwa mnazugana na kudanganyana au 'MNAIGIZA' mapenzi...God Forbid!
Inatokea umeishi na mpenzi wako wa ME/KE katika mahusiano kwa miaka kadhaa hivi ambapo mlianza kufurahia maraha ya mapenzi bila kukwazana au kutofautiana kwa namna yoyote ile ghafla mmoja wenu anampata mpenzi mwingine na anakuja kukuambia ghafla kwamba hataki kuendelea na mahusiano na wewe tena pasipo kukwambia sababu iliyompelekea kufanya hivyo ni nini hasa,. Je utachukua hatua gani na mlipendana kwa dhati?,. Mchango tafadhali
 
Inatokea umeishi na mpenzi wako wa ME/KE katika mahusiano kwa miaka kadhaa hivi ambapo mlianza kufurahia maraha ya mapenzi bila kukwazana au kutofautiana kwa namna yoyote ile ghafla mmoja wenu anampata mpenzi mwingine na anakuja kukuambia ghafla kwamba hataki kuendelea na mahusiano na wewe tena pasipo kukwambia sababu iliyompelekea kufanya hivyo ni nini hasa,. Je utachukua hatua gani na mlipendana kwa dhati?,. Mchango tafadhali

Mwachie Mungu atamrekebisha. Tena kaa kimya wala usilulize mwaswali majibu yake yanaweza kuwa kidonda.
 
unachapa lapa mkuu tena bora huyo amekwambia sio wale wanaofanya visa.
 
Mpaka inafika hapo hamkupendana, ila ulikuwa na unampenda kama mnapendana hawezi kukuacha alikuwa anakudanganya! hivyo NAKUBALIANA NA OMBI LAKE kwani hakuna mwisho mwema wa mapenzi ya upande mmoja!
Na watu wengi nasikitika kuona wanasema namuacha na wakati yeye ndio anaonekana kukuacha mbona hampendi kuachwa jamani?
 
Pamoja sana wadau.lakini kutoswa noma, kwani muda,pesa,moral help na penzi huwa vimepotea.Msinikumbushe machungu mie.
hatari shemejiiiii...............inauma,inauma sana....
 
Kukubali tatizo ni moja ya njia kubwa za kulitatua, hivyo ni vema nikakubaliana na hali halisi kwakuwa yeye nae ni binadamu mwenye mtazamo wake, maono yake, hisia zake, matakwa yake na uhuru vilevile hivyo bora aende nami nisonge mbele maana ukweli huwa haubadilishwi kwa kuukataa au kubembeleza.
 
Mimi niko radhi nilie usiku peke yangu, ning'ate meno, nipige ngumi ukuta, Nishike tama au hata niulaumu moyo wangu 24hrs lakini milele sitokubali kumwambia arudi kwangu na nikikutana naye najionyesha nina furaha hata kama moyo unavuja damu. Usithubutu kumtafuta yaani mpotezee mbaya hata kama uwezi ni mwiko hata kumtumia txt.
 
Na mara nyingi wanawake ndio huwa wanakatisha mahusiano!
But huwa wanafanya hivo kufuatana na msimamo wa mwanaume!
Sababu huez mueka bint wa watu ndan ya mahusiano muda mrefu! Sababu kukubalia wewe anataka umuoe, lakn anaona miaka inazidi songa! Na hukuwai ongelea swala la kumuoa, we unazani akimpata mwanaume amtangazie ndoa,,, nn kitatokea kama sio kibut kwako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom