Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,144
- 3,459
Kalivyo handsome jamani wanakalaani Bure tu 💔😢
Nakatetea ka handsome ka watu mkuu😂😂Mganga vipi mbona hueleweki ?
Na ulanzi kichwani😂😂Mganga leo umeamka na nini lakini
Nimelia sana asee, watu hawana hurumaKalivyo handsome jamani wanakalaani Bure tu 💔😢View attachment 3355543
subiri tutoke msikitini utatukomaKalivyo handsome jamani wanakalaani Bure tu 💔😢View attachment 3355543
My nn mkuu 😂Ugonjwa wa swine porks umeingia toka mwez wa 5, unaambukizwa kwa njia ya hewa.na bado hauna kinga wala tiba. Angalia km unafuga hao my wao usipate hasara.
Na kananenepa akana habar japo kanachukiwa mno😂😂Achana nao ni wivu tu... Nakabariki na kukatakasa kwa jina la Yesu 😋
Wewe kafiri unamjua?Wewe acha ukafiri...
Kwahyo huyo nguruwe ni handsome