Dogoli kinyamkela
JF-Expert Member
- Nov 21, 2024
- 2,144
- 3,460
- Thread starter
- #21
Mnaenda kukafanyaje😂subiri tutoke msikitini utatukoma
Mnaenda kukafanyaje😂subiri tutoke msikitini utatukoma
Umesahau kachumbariRafiki yake mkubwa na Ndizi
Sababu umekuja uku Wacha twende ivyo ivyo mkuu.Mambo ya Walawi 11:7-8
Nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. 8 Msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu
Kuna jamaa wamefyekwa wote kabisaaUgonjwa wa swine porks umeingia toka mwez wa 5, unaambukizwa kwa njia ya hewa.na bado hauna kinga wala tiba. Angalia km unafuga hao my wao usipate hasara.
Huu ugonjwa unaua kwa haraka sana... Watu watapata sana hasaraKuna jamaa wamefyekwa wote kabisaa
Tuwasake wanao kalaKalivyo handsome jamani wanakalaani Bure tu 💔😢View attachment 3355543
Yoyote anaesifia nguruwe ni kafirWewe kafiri unamjua?
Uyo nguruwe n kiumbe cha Nan na ww n kiumbe cha Nan?Yoyote anaesifia nguruwe ni kafir
Pua ya ki hip hop uchwara 😂😂Hio pua sasa
Japo eye aliniambia hakuna ugonjwa wa ngiruwe unaoweza kumuathiri binadamu sijui nikweli kuhusu hili?Huu ugonjwa unaua kwa haraka sana... Watu watapata sana hasara
Ndio, hao wanyama kinga yao iko chini sana kulinganisha na binadamu.. Huyo anaweza pata mafua tu akafa, tofaut na binadamu mafua hata yambane vipi atadunda tu.Japo eye aliniambia hakuna ugonjwa wa ngiruwe unaoweza kumuathiri binadamu sijui nikweli kuhusu hili?
Nguruwe sio kwamba ni mnyama nadhifu pekee, pia ni msafi kuliko wanyama wengine wote.Wewe acha ukafiri...
Kwahyo huyo nguruwe ni handsome
Na ulanzi kichwani
Acha ukafiri wakoNguruwe sio kwamba ni mnyama nadhifu pekee, pia ni msafi kuliko wanyama wengine wote.
Ukibisha nenda katafute vyanzo vya taarifa hii.
Over and out.
Ahsantee sanaNdio, hao wanyama kinga yao iko chini sana kulinganisha na binadamu.. Huyo anaweza pata mafua tu akafa, tofaut na binadamu mafua hata yambane vipi atadunda tu.