Director D
Senior Member
- Feb 24, 2016
- 192
- 229
Habari Wakuu
.
Hivi umewahi kusikia nyimbo nzuri sanaa lakini kwa bahati mbaya nyimbo hiyo haibambi au haisikiki sana.
.
Binafsi Nimekutana na nyimbo hizi ambazo ni kali sana ila zilibuma
1. Sijiwezi-- Nay wa mitego.
huyu jamaa pamoja na vurugu zake zote lakini kwenye ngoma hii alifanya kweli
alisound kihisia na ngoma ni kali mno kwa mchango wa Mr T Touch ambaye alitisha sanaa.
bahati mbaya ngoma hii ilibuma kizembe sanaa.
2. Imebaki Story-- Hemed PHD
Jamaa aliitendea haki hii ngoma ingawa ilibuma bila kutarajia
3. Kizubaneta-- Pah One
kwa wale wanaopenda ngoma za kuchezeka watakuwa wanaijua hii
ni ngoma yenye beat kali mno la kuchezeka ila ilibuma yaan daah
4. n.k
.
Je wewe uliwahi kupenda nyimbo gani iliyobuma??
.
Hivi umewahi kusikia nyimbo nzuri sanaa lakini kwa bahati mbaya nyimbo hiyo haibambi au haisikiki sana.
.
Binafsi Nimekutana na nyimbo hizi ambazo ni kali sana ila zilibuma
1. Sijiwezi-- Nay wa mitego.
huyu jamaa pamoja na vurugu zake zote lakini kwenye ngoma hii alifanya kweli
alisound kihisia na ngoma ni kali mno kwa mchango wa Mr T Touch ambaye alitisha sanaa.
bahati mbaya ngoma hii ilibuma kizembe sanaa.
2. Imebaki Story-- Hemed PHD
Jamaa aliitendea haki hii ngoma ingawa ilibuma bila kutarajia
3. Kizubaneta-- Pah One
kwa wale wanaopenda ngoma za kuchezeka watakuwa wanaijua hii
ni ngoma yenye beat kali mno la kuchezeka ila ilibuma yaan daah
4. n.k
.
Je wewe uliwahi kupenda nyimbo gani iliyobuma??