hiyo heading na maelezo naona viko kama CHADEMA na CCM!!!!!!!!
sure,hata sielewi!tbc na akina kayumba?ni sawa kuwahadthia stori za bahari wapogoro
hiyo heading na maelezo naona viko kama CHADEMA na CCM!!!!!!!!
ubunifu zero...kule wanatumia kujifunzia kiswahiliHii ya akina Kanumba jamani nimeipenda walipofanya ziara Congo DRC na Rwanda,wamepokelewa kama wafalme,kweli nabii akubariki kwao.