jitu la kale
Member
- Dec 29, 2010
- 77
- 18
Hii ya akina Kanumba jamani nimeipenda walipofanya ziara Congo DRC na Rwanda,wamepokelewa kama wafalme,kweli nabii akubariki kwao.
jaman 2wasapoti ni vijana wetu kubwa TeshaMovie zao wapeleke huko huko...si tutaangalia Tom na Jeryy tu...
Wengi wetu wa JF tunaona kukubali kwamba tunaangalia muvie za kina Kanumba tutachekwa, ila ukweli jamaa wanauza sana kitaani. Ukuitaka kujua nenda kwenye vibanda vya huku kwetu mtaani vya kukodisha movie, ni full Kanumba, Ray et al.
Vile vile ukisikia stori za wamama ambao ndio wanunuaji wa hizi movie wanawakubali jamaa kinoma noma.
Kwa hiyo jamaa wataendelea kuuza kwa sababu wanajua wateja wao wanahitaji nini.
NOTE: waJF style zao kukopi kwenye computa kwa hiyo sio wazuri kwa soko la jamaa hawa wa Bongo Movie.
Movie zao wapeleke huko huko...si tutaangalia Tom na Jeryy tu...