Mapenzi ya Kiswahili ni ya kukomoana, no love at all!!
Baada ya muda akipata mwenye change ya kutosha anakumwaga kiaina!! dada zetu hawabebeki ni mizigo tu, migunia ya misumari!!
"mapenzi ni kipofu"
hahahaaaaa..watoto wa siku hizi noma,halafu akikupa mzigo anakupimia usimfuje.akiona unakamua sana anakukimbia.wao wanachotaka ni " kazi kidogo mapato makubwa"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.